Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Safi linazidi kuporomoka saivi ni 15 sh.?. 🤣🤣🤣 Teargas yakupi mashi.?Asante MUNGU 🇹🇿🇹🇿🤗🤗
View attachment 2859822
Safi linazidi kuporomoka saivi ni 15 sh.?. 🤣🤣🤣 Teargas yakupi mashi.?Asante MUNGU 🇹🇿🇹🇿🤗🤗
View attachment 2859822
Tulipoanza msako huu ilikuwa 20.Safi linazidi kuporomoka saivi ni 15 sh.?. 🤣🤣🤣 Teargas yakupi mashi.?
Kabla halijapowa kuhusu foleni ya dar port sasa msomali nae kaamua kupasuka🤣🤣
View: https://twitter.com/mohammedhersi/status/1741866939712942089?t=orLMtzeM89A07lRyQW3dmg&s=19
Dongo kubwa sana wenzetu awapo real for sure fake newsManager kapiga dongo kauliza Mombasa kuna mzigo wa export kama Dar port? Je kuna copper kule?
Rand ya Sauzi ndo imegoma kabisa kuyumba! Dah!!Asante MUNGU 🇹🇿🇹🇿🤗🤗
View attachment 2859822
Teargas kajificha, anasubiri aibuke na "Built in Kenya by Kenyans for Kenyans" nyingine😎😁Nakumbuka ilivyokuwa ikishuka 20, 19, 18.... sikufuatilia baada ya hapo, kumbe imeshafika 15/- ?
Hizi gari ni za mwaka gani?Buy Kenya Build Kenya.
Body by Identity, new kid in the body building industry.
View attachment 2859600View attachment 2859601
Hata sisi huku kwetu watanzania wengi wanaenda vacation nje, nchi yao pendwa ni SA, so kila nchi watu wake wengi wana ndoto za kwenda nchi fulani.Hii ina maana gani? Wana disposable income kuliko sisi au nchi yetu nzuri sana? Hata mimi mwishoni mwa 2022 nilienda Mombasa nilikuwa napishana na gari nyingi za Kenya zinakuja Tz.
Wow asante sana mchina 🤣🤣 nasubiria kusikia vigeregere na ndirimo
View: https://twitter.com/ntvkenya/status/1742074538567876741?t=Je9xdI6FcwBMGytrRGTxtw&s=19