KOMANDO YOSO
JF-Expert Member
- Sep 7, 2023
- 819
- 2,864
Mjipeleke huko kwanza.
View attachment 2858506
View: https://twitter.com/Njege_/status/1738492962693075143
mhurumie mwenzako
Mjipeleke huko kwanza.
View attachment 2858506
Export to Tanzania
View attachment 2858515
Mjipeleke huko kwanza.
View attachment 2858506
Bado hujasema, mpaka useme 👇👇🤣🤣As long as they are loans and donations I don't care. Your annual revenue alone isn't even $15B.
mbona mnaendelea kumpiga nyundo za kichwa, mwenzenu anajifariji ili apate kulala lakini nyie hamtaki hata ajifariji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2858522View attachment 2858525
Kunyan zingatia na tarehe kwa picha zote 2,baada ya hapo uingie ndani kwenye kibanda chako cha mabati hapo kibera ukalie vizuri,TZ this time atucheki na kima na hata hii jam bado kabisa,hatutaki nchi yoyote ya central corridor inapitisha hata kiberiti kimoja kwenye bandari ya kunyaland na soon sgr ikifika mwanza tu uganda nayo tunaibeba 100% port mwanza to port bell
Nasikia yupo ana haraBado hujasema, mpaka useme 👇👇🤣🤣
View attachment 2858539
TZ meli 50 KE 30 alafu mtu anaongea utumbo tyu wa kujifariji with fake economymbona mnaendelea kumpiga nyundo za kichwa, mwenzenu anajifariji ili apate kulala lakini nyie hamtaki hata ajifariji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mbona mnaendelea kumpiga nyundo za kichwa, mwenzenu anajifariji ili apate kulala lakini nyie hamtaki hata ajifariji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakenya miaka hii mtageuza sana lugha na kupika data ili muonekane na dunia mpo juu ya Tanzania lakini Ukweli utaonekana tu Giant anachukua nafasi yakeWe mbwa koko njoo hapa uone facts 🤣🤣🤣 soma number hizo ships in port Dar 52 ships vs Mombasa 30 ships. Zingatia tarehe DAR👇View attachment 2858587Mombasa 👇View attachment 2858589 mwenzako alivyolalamika hakua mjinga.. ground ndio inaeleza hivyo. Wewe mpumbavu ulidai ni meli 20. Kumbe ulikua Hujui kusoma taarifa huku kwenye vessels finder. 🤣🤣🤣 Huku mjomba kila graph unaambiwa kabisa mwisho kujua taarifa ni less than 20. And more info is for satellite or premium users. 🤣🤣🤣🤣
Umem..to..mb.. harudi tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We mbwa koko njoo hapa uone facts 🤣🤣🤣 soma number hizo ships in port Dar 52 ships vs Mombasa 30 ships. Zingatia tarehe DAR👇View attachment 2858587Mombasa 👇View attachment 2858589 mwenzako alivyolalamika hakua mjinga.. ground ndio inaeleza hivyo. Wewe mpumbavu ulidai ni meli 20. Kumbe ulikua Hujui kusoma taarifa huku kwenye vessels finder. 🤣🤣🤣 Huku mjomba kila graph unaambiwa kabisa mwisho kujua taarifa ni less than 20. And more info is for satellite or premium users. 🤣🤣🤣🤣
Sehemu pekee walikuwa wanajifariji ni kwenye bandari, nako huko tushawapiga, wakati Magufuli anaipanua Dar port hakuwa mjinga, alikuwa anajua ni kitu gn anafanya, yule mzee Mwenyezi amuweke panapo stahili, hakuna mradi hata mmoja aliofanya usiwe na impact.Wakenya miaka hii mtageuza sana lugha na kupika data ili muonekane na dunia mpo juu ya Tanzania lakini Ukweli utaonekana tu Giant anachukua nafasi yake
Mim sijui chochote kuhusu haya mambo😎
Ila wacha nipost tu kama ChoiceVariable
View: https://twitter.com/YerickoNyerereT/status/1741101073887039770?t=lkw1Ds_Ghi3eZz5NCJmFdg&s=19
View: https://twitter.com/YerickoNyerereT/status/1741129440690655363?t=vxBzynuQLQSfmUOReFaSLA&s=19