How the Expansion of Mombasa Malindi Road will transform lives
View: https://www.youtube.com/watch?v=cRP-CeMw-BI
Hii barabara inayo jengwa iko na 4 overpass na 1 viaduct...
Huyo Mpuuzi unapoteza Muda Kumjibu tuNionyeshe popote hio ndege kuwa imenunuliwa kati ya 2015 hadi 2023. Lasivyo, 2024 tutaendelea kukuita mbumbumbu humu ndan
Ndio vizuri😎😂😁Mwaka 2024 utakuwa mgumu sana kwa wakenya.
Kuna kunyan youtuber alishawahi kusema siku Watanzania tukigundua as we are potential,hakuna nchi itatukimbiza kimaendeleo EAC,nikamjibu raia wa Tanzania tunatambua hilo ni viongozi wetu tu wamezubaaWatanzania wenzangu haya maendeleo tunayozidi kupiga kila siku yatawagharimu sana wakenya, watakuwa na maisha magumu sn mana kumbuka 70% ya GDP yao ni uzembe wa viongozi wa Tanzania, mana nchi yetu imekaa kimkakati, kama Tanzania ikiwa vzr katika kila sector hakuna kichaa atatumia infrastructure au bidhaa za Kenya coz ni wezi na hawaaminiki.
Kaka specs za hii nikon ziko vipi?Tena leo nimeenda Sinda Island 😎 nimehesabu meli mpaka nimechoka
BTW this is Sinda Island in Dar es salaam, the most beautiful Island like Mbudya.!
View attachment 2858959
View attachment 2858960
Maharage ni upotevu wa muda.Kwenye hili kweli mmetushinda!! TTCL ingechangamkia hii fursa!! Maharage angechamgamka pale. Miundombinu tayari ipo kwa TTCL, na waweke bei RAfiki kama za zuku!!
uchumiforum.com
Maharage ni upotevu wa muda.