Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

eti Marsabit au Lodwar, wewe unaumwa mavi haki ya mama, huko kwenye njaa ya kufa mtu ndiyo ufananishe na kigoma? Kenya ni Nairobi tu na Nairobi ni Kenya, hakuna mji mwingine Kenya ufananishe na Tanzania mji wowote ule, Marsabit na Lodwar watu wanakula punda, nyumba za tope ndiyo ufananishe na kigoma kwenye electric SGR, kwenye bandari kubwa namna ile? wewe una kichaa wallahi. Kenya hamuiwezi Tz kwa lolote.
 
Na wewe katika wajinga wa mwisho wewe umo
Hivi wajinga wa mwisho ndio wale wa mwisho kwa ujinga hivyo wanakaribia ujanja? Au ndiyo wa mwisho kabisa wako mbali kabisa na ujanja?

Kwa nini unasema hivyo mkuu? Mimi muda wote niko radhi kujifunza kutoka kwenye ujinga wangu.

Hebu nieleweshe nipate darasa hapa.

Usiishie kufanya ad hominem attack kutoka kwenye hoja kumshambulia mtoa hoja.

Hiyo ni alama ya mtu asiye na hoja.
 
Back
Top Bottom