ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,429
- 85,269
Lakini tunaowalenga zaidi ni DRC,hiyo ya Mbamba Bay itakuwepo tuu kama reli independent.ila hiyo ya Mtwara inahitaji branch kwenda Mbamba Bay Lake Nyasa ni kaibu zaidi na Lilongwe!
Hoja yangu ni kuipa Nguvu na Ufanisi TAZARA na ku maximize mizigo ya South Eastern DRC-Lubumbashi,Likasi nk.
Bila kufanya hivyo haitokuja kutokea TAZARA ikawa na Ufanisi Wala hiyo ya kwenda Karema haitasiaida sana.
SGR za Sasa ni Kwa Ajili ya Eastern and North Eastern DRC.
Serikali ziangalie viability za hizo routes zinaweza make sense hasa na kuifanya Bandari ya Mtwara kuwa kubwa kabisa.
Wenzetu wamenaza huko Botswana
Transnet crisis: Investors want to build Botswana rail line to avoid SA | Business
Botswana has received unsolicited bids from investors to build a rail line to a Namibian port that will help avoid South Africa and its disintegrating logistics network.