Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mko na wivu sana mmefika mbali hadi kusema tunaongeza sifuri kwenye project zetu
IMG_20231218_215926.jpg


View: https://twitter.com/BERNARDg32/status/1535680041023156224?s=19
 
dogo mtanganyika mwenzetu wamemuuaa kimyama mnoo...yaaani kama myama vilee ahh aisee sio poaa
View attachment 2845504
kwenye huu mgogoro, watanzania wengi wanasombwa na hisia za kidini. Unakuta mkristo anashika bendera ya Israel na muislam anashika ya palestina na kuanza kushikana mashati bila kujua nini hasa kiini cha mgogoro.

Hawa Hamas (tofauti na PLO ya Arafat ambayo Nyerere alikuwa akiitetea), baadhi wamekuwa radicalized kwa sponsorship ya zionist wenyewe ili kutengeneza justification fulani Gaza.

Ukiangalia vitendo hivi kama kilichomkuta huyu mtanzania mwenzetu, utaona vinafanana na vile vilivyotokea Syria, Libya na hata West Afrika. Hii pattern ndiyo wengi wanashindwa kuunga dots zake, ili kupata picha kamili.

Joshua Mollel, miaka 21 tu na alifika Israel September na kufanyiw unyama huu October.
1702927731276.png



View: https://x.com/KipepeComrade/status/1736530663254135149?s=20


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1736742347298250809?s=20
 
Mateka hutumiwa kama silaha au chambo ya kushinikiza jambo lao bila kujalisha ni WA upande gani.

Inauma ila ndio hivyo Dunia sio salama so inatukumbusha kwamba tusiwe tunashabikia vita anywhere maana madhara yake yanaweza kukuta hata wewe usiyetarajia.

Yule wa Ukraine na Hawa madogo 2 wote yamewakuta Wakiwa masomoni.
Wewe sijui kichwa chako kikoje!

Dogo hakuwa vitani sawa. Alikuwa anatoka zake shambani kulelekea home na baiskeli yake na alitekwa na kundi la watu wenye silaha kama vile wanavyotekwa Wakenya nchini kwao na Al Shabab. Kenya ni vitani?

Kijana asiye na hatia ni victim wa ugaidi, na tumewasikia Magaidi wakisema "Alah Akbar" wakimchoma visu na kumpiga risasi.

Sio kwa sababu wewe ni muislam basi ulete visababu vya kujastifai mauaji.

Ule ni ugaidi.
 
Hii failed state hawanaga hekima hata kidogo, kazi ni kukwaruzana na nchi zingine.
Yaani hata siku mbili hazijapita wakwaruzane na DRC tayari wameanzisha lingine!
Heri mama huwa yeye anatumia neno majirani, atakaye jishtukia atajua yeye 😂😂😂

View: https://x.com/citizentvkenya/status/1736826700506214725?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

Hao kunyan wamekuzwa kwenye ubaguzi wa kikabila,pale nchini kwao wanaishi hivyo kusemana vibaya,wivu,uchawi na wakitoka nje ya nchi yao ni hivyo hivyo ni chuki tu na kujiona bora zaidi ya nchi nyingine,wameumbwa hivyo ndio maana late nyerere aliwaita nyang'au
 
Hao kunyan wamekuzwa kwenye ubaguzi wa kikabila,pale nchini kwao wanaishi hivyo kusemana vibaya,wivu,uchawi na wakitoka nje ya nchi yao ni hivyo hivyo ni chuki tu na kujiona bora zaidi ya nchi nyingine,wameumbwa hivyo ndio maana late nyerere aliwaita nyang'au
Hawana hata chembe ya hekima.
Ndio maana The best 007 anasemaga hata slum dweller ana ndoto za kuwa rais. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom