Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Footballing nation 🔥🔥🔥

Tunawabeba sana hawa ndugu zetu kwenye huu ukanda lakini hawana shukrani.

Tulipaswa tuombe kujitoa EAC,tuombe kujiunga äta European Union,maana hizi mbuzi za EA hasa za Kunyastan hazitaki ku-appreciate nämna gani tunawainua sana
 
Mombasa
FB_IMG_1700066551418.jpg
 
Hii project ina involve alot of things such as:
1. Well development and well works
2. Marine pipelines network to shore
3. LNG terminal for gas processing to LNG
4. LNG shipping port
5. LNG storage tanks
ETC
Raha sana kuona mafaza wanawanyanyasa watu kisaikolojia namuna yee hahahahaha! Af wabongo hata hatujal kukosoana! Ila hao wajinga utasikia wanaambiana kwenye hamna "wewe sio mzalendo"
 
Back
Top Bottom