Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BAGAMOYO ROAD

IMG_2798.jpeg
 
Ila Tz Ina raia wenye akili sana, katika kukwepa ukabila na madhara yake visishike hatamu kabisa, imewahi kutokea mara moja tu raisi wa nchi kutokea katika kabila kubwa zaidi Tanzania. Maraisi wote waliobakia ni wale kutoka kwenye vikabila vidogodogo kabisa. Kudos JK Nyerere 👏👏
 
Ila hawa Kenyans ni jokers sana, vile viwanja vyao walivyojenga mwaka huu mmeviona.? 🤣🤣🤣 Heb ona Tz tunavyozingatia standards 👇View attachment 2843925View attachment 2843926View attachment 2843928View attachment 2843929View attachment 2843931
Kenya nzima haina uwanja wenye roof ya namna hii na ina-cover sitting area yote kama hivi! Wanajua ndo maana wako kimya! nawa-challenge walete zile international stadiums zao! Kule Ukunyani ni "mambati rollings"!Hapo hatujaongelea mabango ya matangazo ya kieletroniki!

mpumbavu wa ukoo wa Sadima alias mwai sadima Dickson mwaiofhawaii nakuona online njoo ujibu hii maneno!
 
Hakuna barabara enye iko na vumbi hapo, masaki si green sana na barabara zake some of them zimepeuka juu ni za zamani, that's why kwa picha za google zinaonekana kama ni vumbi but yo hakuna barabara za vumbi in Masaki.
Alisikika bongolala akijitetea 🤣🤣
Screenshot_2023-11-03-21-14-11-23_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1.jpg.jpg
 
Back
Top Bottom