Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaongea kama huishi Africa wakazi wa kibera, mathare, mukuru kwa njenga na pipeline as if wanaweza afford bima ya afya.
Unaongea kama huishi Africa wakazi wa kibera, mathare, mukuru kwa njenga na pipeline as if wanaweza afford bima ya afya.
If your fellows in Tandale, Mazense na Vingunguti can't afford medical cover don't think everybody can't
 
Asee huwa napataga moto kuwatangazia kiama wakunya ila wacha nieende kuwasoma kwanza wap wako na nguvu then niwapige na tuvitu tudogodogo za uswazi kunakobadilika kuwa kama ulaya. Hawa 2wapge na maeneo ye2 wanayoyaona hovyo. Twendeni tuwaonyeshe huko uswazi kulivyo, wanajifarijigi na vipicha vyao vya google earth. Wacha nije kuwaonyesha uswazi zinavyoitafuta naipori kwa hasira
 
Kwanini hawa kondoo kwenye hospitali huwa ni Tanzania Government hospital vs Kenya private hospital (Agakhan)?
Ndio ujionee tofauti, Wanategemea external force kuwabeba. Utasikia Multinationals, Expressway, Aga Khan, CGTN, BRITAM .etc bila hao hakuna kitu cha Mumbi wa Thion’go hata cha topetope.😂

Vyakwetu vinajulikana vingi vya watanzania。
 
Back
Top Bottom