Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GBTxZA1X0AAbxIz.gif

WAKENYANS TOPE NA WATANZANIA WELEVU NIWATAKIE USIKU MWEMA 🤣 🤣 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Mbona Bomba la EACOP la $5b hamlitaji? Investment kwa upande wa Tanzania ambapo ndio 70% ya project nzima sio chini ya $3b
Unajua mambo mengine yapo wazi sn, hivi unawezaje kulinganisha Tz na Kenya kiuchumi? Tuna mega projects nyingi sana, JNHPP, EACOP, SGR, BRT, hivi hata kama hujui kusoma unawezaje kukubali eti Kenya inaizidi Tz kiuchumi? Hata kama wewe ni mwehu unawezaje kukubali upotoshaji huo?
 
Napendekeza Serikali ianze Usanifu wa haraka wa Sgr zifuatazo Ili kukabiliana na Ongezeko kubwa la shehena ya mizigo linaloletwa na Ukuaji wa Uchumi na kuhakikisha tuna maximize faida Kupitia DRC ambayo ndio Jiografia yetu Inatu favour zaidi.

1.Makambako-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Ruangwa-Mtwara Port.
-Hii route ni itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kuipa uhai Tazara.Tunawesa ingage Wachina ambao wameanza Kupitia Upya Tazara.

2.Tanga-Kiteto-Kondoa-Singida-Isaka
-Hii route itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kutoa ushindani Kwa bandari ya Mombasa

3.Serikali ifikirie route Mpya kutoka Gati la Lagosa-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Mtera/Chipogola-Kilosa ikaungane na existing Sgr.
-Mizigonya South Eastern DRC tutakuwa tumeikamata.Ikiwezekan Serikali iachane na Ile section ya Karema-Mpanda-Kaliua badala yake wafikirie kujenga hiyo reli Mpya.
View attachment 2842640

Hizo Sgr zote ziambatane na Barabara zake maana Kwa Sasa unaambiwa Malori 1,600 Yana play Kila siku kati ya Dar-Tunduma.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1735241822182551774?t=1QLeqsPDaysB_R-pP1RFIQ&s=19

By 2030 kama Eastern DRC inakuwa na amani kutafumuka uchumi mkubwa sana ambao utahitaji njia Mpya za reli,Barabara na Bandari.

View: https://www.instagram.com/p/C0y4FasPJOU/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

SGR Tanga Moshi Arusha Musoma on lake Victoria port
 
Back
Top Bottom