Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IamLee is just being a Kenyan. Hakuna kutafuta kuponda jirani.
Just being true. Huwa tunasema Mkenya Mtrue. Tofauti na Mtanzania akija Kenya akatokea Kibera ili kuwafariji wenzake. Watanzania mmetetemeka maanake naona hapa jamaa angetaka kuponda mngelia wallahi!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio kwamba hakutaka kuponda bali kakosa picha za kuponda, IamLee sio mkenya wa kwanza kuja Bongo na kukosa picha za kuponda, huu uzi ni kwa ajili ya kuonesha kipi kipo huku na huku hakipo, ilifika kipindi kuna mkenya aliahidi kutuma mtu apige picha za hovyo bongo amtumie ili yeye apost huku lkn alikosa hizo picha. Ukweli ni kwamba Bongo yapo maeneo ya hovyo lkn si kwa level za Nairobi na miji mingine ya kiafrika.
 
Tanzania Tuna big projects za mabilioni kwa wakati mmoja

JHNPP Over $2 billion
SGR $3 Billion lot zote
JPM Bridges kigogo - Busisi $265 million
Msalato Airport - $329.47 million
Ukarabati wa airport nyingine Mikoa yote Mabilion kama yote na Ongoing


Ukarabati wa Bandari na Matenki ya kuhifadhia Mafuta - Karibu $500 millions

Ukarabati na ujenzi wa barabara mpya nchini - over $500 million

BRT Phase 3 - 4 over $500 million

Now tumekuja na Mipango miji.

Sasa tuje Kenya sasa mradi wa over 200 milioni tuuone, aah nakumbuka uliopo ni wa ROSTAM.


Hizo pigo zinafanywa na nchi ya GDP ndogo
Currently GDP ya Tz ni $150b.
 
Sio kwamba hakutaka kuponda bali kakosa picha za kuponda, IamLee sio mkenya wa kwanza kuja Bongo na kukosa picha za kuponda, huu uzi ni kwa ajili ya kuonesha kipi kipo huku na huku hakipo, ilifika kipindi kuna mkenya aliahidi kutuma mtu apige picha za hovyo bongo amtumie ili yeye apost huku lkn alikosa hizo picha. Ukweli ni kwamba Bongo yapo maeneo ya hovyo lkn si kwa level za Nairobi na miji mingine ya kiafrika.
Ukitoka airport to Masaki via CBD hakuna uswazi hata moja yenye utaona njia nzima. Cc Kimbg go google the distance.
 
Tanzania Tuna big projects za mabilioni kwa wakati mmoja

JHNPP Over $2 billion
SGR $3 Billion lot zote
JPM Bridges kigogo - Busisi $265 million
Msalato Airport - $329.47 million
Ukarabati wa airport nyingine Mikoa yote Mabilion kama yote na Ongoing


Ukarabati wa Bandari na Matenki ya kuhifadhia Mafuta - Karibu $500 millions

Ukarabati na ujenzi wa barabara mpya nchini - over $500 million

BRT Phase 3 - 4 over $500 million

Now tumekuja na Mipango miji.

Sasa tuje Kenya sasa mradi wa over 200 milioni tuuone, aah nakumbuka uliopo ni wa ROSTAM.


Hizo pigo zinafanywa na nchi ya GDP ndogo
SGR lot zote $3 bln? R u serious au unaropoka?

Yapi Merkezi Vice-Chairperson Erdem Arioglu, who recently led Finance Minister Mwigulu Nchemba and a government delegation to Spain, Sweden and Poland to seek funding for the project, told The EastAfrican that the fundraising drive was a follow-up on various commitments totalling $2.2 billion towards the $10.4 billion project. Turkey contractor confirms $1.8bn gap in funding Tanzania SGR
 
Tanzania Tuna big projects za mabilioni kwa wakati mmoja

JHNPP Over $2 billion
SGR $3 Billion lot zote
JPM Bridges kigogo - Busisi $265 million
Msalato Airport - $329.47 million
Ukarabati wa airport nyingine Mikoa yote Mabilion kama yote na Ongoing


Ukarabati wa Bandari na Matenki ya kuhifadhia Mafuta - Karibu $500 millions

Ukarabati na ujenzi wa barabara mpya nchini - over $500 million

BRT Phase 3 - 4 over $500 million

Now tumekuja na Mipango miji.

Sasa tuje Kenya sasa mradi wa over 200 milioni tuuone, aah nakumbuka uliopo ni wa ROSTAM.


Hizo pigo zinafanywa na nchi ya GDP ndogo
Bwawa la Nyerere ni $3b(7T)
SGR $10.4b(20T)

Miradi Tzn hii Kwa Sasa ni countless
 
Uwekezaji wa SGR pekee una thamani kubwa kuliko miradi yote iliyopo Kenya, Rwanda, Burundi combined. Cc Kimbg
Napendekeza Serikali ianze Usanifu wa haraka wa Sgr zifuatazo Ili kukabiliana na Ongezeko kubwa la shehena ya mizigo linaloletwa na Ukuaji wa Uchumi na kuhakikisha tuna maximize faida Kupitia DRC ambayo ndio Jiografia yetu Inatu favour zaidi.

1.Makambako-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Ruangwa-Mtwara Port.
-Hii route ni itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kuipa uhai Tazara.Tunawesa ingage Wachina ambao wameanza Kupitia Upya Tazara.

2.Tanga-Kiteto-Kondoa-Singida-Isaka
-Hii route itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kutoa ushindani Kwa bandari ya Mombasa

3.Serikali ifikirie route Mpya kutoka Gati la Lagosa-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Mtera/Chipogola-Kilosa ikaungane na existing Sgr.
-Mizigonya South Eastern DRC tutakuwa tumeikamata.Ikiwezekan Serikali iachane na Ile section ya Karema-Mpanda-Kaliua badala yake wafikirie kujenga hiyo reli Mpya.
Screenshot_20231214-192539.jpg


Hizo Sgr zote ziambatane na Barabara zake maana Kwa Sasa unaambiwa Malori 1,600 Yana play Kila siku kati ya Dar-Tunduma.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1735241822182551774?t=1QLeqsPDaysB_R-pP1RFIQ&s=19

By 2030 kama Eastern DRC inakuwa na amani kutafumuka uchumi mkubwa sana ambao utahitaji njia Mpya za reli,Barabara na Bandari.

View: https://www.instagram.com/p/C0y4FasPJOU/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Najua mlikuwa mnategemea picha mbaya, ila mwenzenu kakosa, kanogewa na mandhari ya kibongo. Huyu akikaa bongo hata mwezi mmoja, i'm sure atakana uraia wenu na kuomba wa Utanzania.

IamLee Wenzako wanalialia unavyokula bata, hadi wanaomba hata picha mbaya, plz ukiona sehem pabaya photoa uwatumie waridhike, ila najua hutopaona pabaya.
Sincerely,
By 🇹🇿 citizen
Wakenya hawana huo ujinga
 
Back
Top Bottom