Huwa sio kwamba natia chuku. Ila Mwinyi hapa alitumia magari hajawahi ona Tanzania nzima,
View: https://youtu.be/Lij8Abh5hLY?si=zsn4Xtd9oAZNqNNo
View: https://youtu.be/Lij8Abh5hLY?si=zsn4Xtd9oAZNqNNo
Huwa sio kwamba natia chuku. Ila Mwinyi hapa alitumia magari hajawahi ona Tanzania nzima,
View: https://youtu.be/Lij8Abh5hLY?si=zsn4Xtd9oAZNqNNo
Napendekeza Serikali ianze Usanifu wa haraka wa Sgr zifuatazo Ili kukabiliana na Ongezeko kubwa la shehena ya mizigo linaloletwa na Ukuaji wa Uchumi na kuhakikisha tuna maximize faida Kupitia DRC ambayo ndio Jiografia yetu Inatu favour zaidi.
1.Makambako-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Ruangwa-Mtwara Port.
-Hii route ni itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kuipa uhai Tazara.Tunawesa ingage Wachina ambao wameanza Kupitia Upya Tazara.
2.Tanga-Kiteto-Kondoa-Singida-Isaka
-Hii route itatoa relief Kwa Bandari ya Dar na kutoa ushindani Kwa bandari ya Mombasa
3.Serikali ifikirie route Mpya kutoka Gati la Lagosa-Mpanda-Inyonga-Rungwa-Mtera/Chipogola-Kilosa ikaungane na existing Sgr.
-Mizigonya South Eastern DRC tutakuwa tumeikamata.Ikiwezekan Serikali iachane na Ile section ya Karema-Mpanda-Kaliua badala yake wafikirie kujenga hiyo reli Mpya.
View attachment 2842640
Hizo Sgr zote ziambatane na Barabara zake maana Kwa Sasa unaambiwa Malori 1,600 Yana play Kila siku kati ya Dar-Tunduma.
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1735241822182551774?t=1QLeqsPDaysB_R-pP1RFIQ&s=19
By 2030 kama Eastern DRC inakuwa na amani kutafumuka uchumi mkubwa sana ambao utahitaji njia Mpya za reli,Barabara na Bandari.
View: https://www.instagram.com/p/C0y4FasPJOU/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Pamoja na mapungufu yake,Hapo ndipo Mwendazake alikuwa anawazidi Kwa ujasiri wa kufanya maamuzi.Reli haijengwi tu kwa kuchora!
Mrejesho wa huo mradi utaifanya Tanzania kuwa baba wa hii regionKisha!? What will be it's value of return on investment!?
Kiingereza chenyewe wanajua basi,wanajikakamua tu,angalia hapo uone wabunge wao wanavyotia aibuAndika kwa kingereza umesahau.
Wakija TZ uwa wanashindwa kupata walichokikusudia,kuna mkunya m1 yuko tiktok uwa anapost picha za dar ila video anaweka filter ile ya low qualitySio kwamba hakutaka kuponda bali kakosa picha za kuponda, IamLee sio mkenya wa kwanza kuja Bongo na kukosa picha za kuponda, huu uzi ni kwa ajili ya kuonesha kipi kipo huku na huku hakipo, ilifika kipindi kuna mkenya aliahidi kutuma mtu apige picha za hovyo bongo amtumie ili yeye apost huku lkn alikosa hizo picha. Ukweli ni kwamba Bongo yapo maeneo ya hovyo lkn si kwa level za Nairobi na miji mingine ya kiafrika.
Ni kweli kaka kuna siku mzungu mmoja amenikuta kwny corridor ameland kutoka Nairobi akaniambia anatafuta ofisi ya Head of Security (HESO) jana yake alisafiri kwenda Nairobi wakati wa kutoka alimisplace wallet yake alitoa taarifa wamempigia simu imepatikana na ina kila kitu chake ndani aje kuchukua just imagine wallet kitu cha kuweka mfukoni tu na ku-disappear ila watu wamekuwa waaminifu.Heheheeee wageni wote wanaokuja wanasifia JNIA over all airports in EA, unachozidi JNIA mbele airports za EA ni usalama na usasa, huwezi kuibiwa kitu chochote ndani ya JNIA, JKIA haiko secured, that's why abiria akiwa anaenda Kenya ni lazima aifanyie wrapping bag yake. Acha uzalendo kuwa mkweli ili mbadilike mana haya maoni yako yanaonekana na viongozi wenu, unaposhindwa kubali. JNIA huwezi fananisha na JKIA.
Kuna masuala ya kiuchumi huwezi kuchora tu na kujenga Hiyo ya Mtwara mpango upo na umefanyiwa studies! Na itakuwa CGR inaweza kuunganishwa na TAZARA!Pamoja na mapungufu yake,Hapo ndipo Mwendazake alikuwa anawazidi Kwa ujasiri wa kufanya maamuzi.
Kinachozuia isijengwe ni nini labda we babu.
2100Mradi huu unakubali sana. Mwa ngapi!?
Well mkuu correct meSGR lot zote $3 bln? R u serious au unaropoka?
Hapo nimezingatia Hilo swala la uchumi hususani kupunguza msongamano wa mizigo hapo Dar Port na kuongeza efficiency ya Tazara Kwa kufungua hiyo route Mpya.Kuna masuala ya kiuchumi huwezi kuchora tu na kujenga Hiyo ya Mtwara mpango upo na umefanyiwa studies! Na itakuwa CGR inaweza kuunganishwa na TAZARA!
Mkuu mie walitaka kunipiga perfumes eti sitakiwi kuingia nazo usiombe ukutane nao hao washenzi🥺🥺🥺🥺experience ya pale sio nzuri brother.Heheheeee wageni wote wanaokuja wanasifia JNIA over all airports in EA, unachozidi JNIA mbele airports za EA ni usalama na usasa, huwezi kuibiwa kitu chochote ndani ya JNIA, JKIA haiko secured, that's why abiria akiwa anaenda Kenya ni lazima aifanyie wrapping bag yake. Acha uzalendo kuwa mkweli ili mbadilike mana haya maoni yako yanaonekana na viongozi wenu, unaposhindwa kubali. JNIA huwezi fananisha na JKIA.
Yeyote- inatumika ukiwa unamhusisha mtu/watuKuna mkenya mwenye anaweza nielezea tofauti ya haya maneno mawili.?
1.Yoyote
2.yeyote
Kenyans, what is the difference between these two words.?
Cc Teargas Kimbg Nicxie mwaiofhawaii .