Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliposena Tz umeme unakatika wiki nzima tena kwa msisitizo anafahamu na ni kawaida ndo nikaona hapa either tunabishana na wendawazimu au watu ambao wamepewa simulizi nyingi sana za ki Juha tangu wanakua😅
Tangu nizaliwe sijawahi kuskia popote pale in Tz eti umeme umekatika wiki nzima. 🤣🤣🤣 Jamaa hayo maneno wanapata wapi aisee.?🤣🤣🤣🤣.
 
Hii ndio skyline ya Mwanza?😂😂😂
Hii ni bado sana hata kwa kaeneo kadogo Mombasa kama KizingoView attachment 2842150View attachment 2842151View attachment 2842170View attachment 2842171View attachment 2842172
We jamaa sidhani kama ni timamu wewe,, 🤣🤣🤣 sasa kwenye hii mitaa kuna nini cha ajabu chenye unahisi Mwanza hakipo.? 👇
images - 2023-12-14T112244.296.jpeg
kando ya hilo jengo moja refu, unahisi nini cha ajabu umeona hapo.?🤣🤣🤣
 
Rare photos of Mwanza City. 👇
Screenshot_20231214-163232_1.jpg
Screenshot_20231214-163028_1.jpg
Screenshot_20231214-163321_1.jpg
Screenshot_20231214-163055_1.jpg
Screenshot_20231214-163334_1.jpg
Screenshot_20231214-163148_1.jpg
Screenshot_20231214-163145_1.jpg
wewe kima Nicxie njoo hapa ujifunze Mwanza mpuuzi wewe. Hizo ni view za zamani a lot have been changed in the city recently. Hii Mwanza ni capital city of lake zone, huu sio mji wa wavivu na vilaza kama mombosa wala hatungojei foreign investments we mbuzi
 
IamLee is just being a Kenyan. Hakuna kutafuta kuponda jirani.
Just being true. Huwa tunasema Mkenya Mtrue. Tofauti na Mtanzania akija Kenya akatokea Kibera ili kuwafariji wenzake. Watanzania mmetetemeka maanake naona hapa jamaa angetaka kuponda mngelia wallahi!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tanzania Tuna big projects za mabilioni kwa wakati mmoja

JHNPP Over $2 billion
SGR $3 Billion lot zote Correction ni USD 10 BILLION
JPM Bridges kigogo - Busisi $265 million
Msalato Airport - $329.47 million
Ukarabati wa airport nyingine Mikoa yote Mabilion kama yote na Ongoing


Ukarabati wa Bandari na Matenki ya kuhifadhia Mafuta - Karibu $500 millions

Ukarabati na ujenzi wa barabara mpya nchini - over $500 million

BRT Phase 3 - 4 over $500 million

Now tumekuja na Mipango miji.

Sasa tuje Kenya sasa mradi wa over 200 milioni tuuone, aah nakumbuka uliopo ni wa ROSTAM.


Hizo pigo zinafanywa na nchi ya GDP ndogo
 
Rare photos of Mwanza City. 👇View attachment 2842502View attachment 2842503View attachment 2842505View attachment 2842507View attachment 2842508View attachment 2842510View attachment 2842511wewe kima Nicxie njoo hapa ujifunze Mwanza mpuuzi wewe. Hizo ni view za zamani a lot have been changed in the city recently. Hii Mwanza ni capital city of lake zone, huu sio mji wa wavivu na vilaza kama mombosa wala hatungojei foreign investments we mbuzi
Kama NBO mwanangu 😍😍😘🥰❤️🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom