Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,082
- 17,801
Nioneshe picha kama hii kutoka hapo kijiji cha Mwanza. This is Mombasa skyline🤣🤣🤣🤣 You guys are jokers right?
Nioneshe picha kama hii kutoka hapo kijiji cha Mwanza. This is Mombasa skyline🤣🤣🤣🤣 You guys are jokers right?
Vipi Kibera au unajifanya hujui?😎...Dar ni uswazi? Ama tulete ushaidi humu?
Uganda does more imports than than shithole called Burundi and it has largely depended on Mombasa port for ages. Saa zingne unafaa kuwa na maarifa kuhusu vitu fulaniKwani nyie mnavyopiga nduru reli yenu ifike kwa LDC Uganda itawasaidia vipi? Tuanzie hapo kwanza.
Kibera is just 2.5 square kilometers big. Compare than with the uswazi hovels that cover the whole of Dar save for a few areasVipi Kibera au unajifanya hujui?😎
Vipi na Korogocho?😎Kibera is just 2.5 square kilometers big. Compare than with the uswazi hovels that cover the whole of Dar save for a few areas
vp hio reli yenu kwani mwanzoni mlitaka ifike wapi si kondo mliwapigia hesabu au? mmewahiwa kubalini tuu we are smartZaire ni another Shithole.
That's a big gamble.
nliona kimya mwanetu nikajua tayari ushaenda israel kumbe upo.Hiyo nickel imewasaidia kwa lipi when they are still walloping in poverty? Sasa nyie ldc kama wao itawasaidia kwa lipi?
Korogocho is still very small compared to your uswazi hovels that more than half of your cityVipi na Korogocho?😎
Unafikiri mimie nalipwa na sisiemu kusign-in kila siku kama wewenliona kimya mwanetu nikajua tayari ushaenda israel kumbe upo.
Hebu angalia listi nzima ya Nairobi hapa. Tusichoshane😎Korogocho is still very small compared to your uswazi hovels that more than half of your city
Ccm ni chama Dola, habari za western democracy haipo.uwa nikiona mambo ya kiserikali halafu kuna hizi mbwa za kijani zimefika eti "KUKAGUA MRADI" uwa naishia kucheka tu mwenyewe coz ata USA huwezi ukakuta Democratic au Republican wanaingia shughuli za kiserikali......CCM inatuletea ushamba sana hapa
Sasa mbona takwimu zinasema Dar port ni the most efficient than all East Afrikan ports, tulete ushahidi?Yes that's the point. An efficient port should have the supporting infrastructure to enable it handle the incoming cargo volume. A port may handle just two or three ships per month but they end up staying at the dock for ages. That's inefficiency.
Durban port having more ships on the outer anchorage than Mombasa shows its (Durban's) inefficiency than Mombasa. At the end of the day, an importer would prefer Mombasa more than Durban. That's the point