Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Wala sikitaki, kwanza ninajisikia vibaya sana nikimuona mtu mwenye ngozi nyeusi anazungumza lugha za kigeni, mimi tukikutana usinizungumzie lugha za wakoloni, hata siwezi kukujibu, I am a free man from slavery, hata wewe ninajua taratibu utakomboka ki mawazo na one day you gonna be freesikulaumu lakini ndugu...najua kizungu shida sana...acha nizungumze lugha unayoielewa vyma...kaka blaza laila odinga..![]()
![]()
You can hate Dar but for this pics of Luanda what is so special to surpass Dar? Lemme tel you pal,all you need to do now is proving to anyones that Luanda has something special not that shits uve posted
Wala sikitaki, kwanza ninajisikia vibaya sana nikimuona mtu mwenye ngozi nyeusi anazungumza lugha za kigeni, mimi tukikutana usinizungumzie lugha za wakoloni, hata siwezi kukujibu, I am a free man from slavery, hata wewe ninajua taratibu utakomboka ki mawazo na one day you gonna be free
Our airport is only small but ain't ugly,Even world is laughing at you when you say cattle dip, that is words of mouth only that won't break a bone. ..haya nenda kalilie mamako sababu nimebadilisha topic mshamba ww...😀😀
hii cattle dip pia msisahau..baadaye katafte kikombe uende kazi omba omba pal jijini 😀😀Nairobi
![]()
watu wa LDC😀😀
![]()
Mchina kawanyoosha kisawasawa😀😀😀Mungu anahitajika kuwasaidia kujua kwamba ninyi ni washamba sana, china kuna train nzuri sana za kisasa, hizohizo za diesel engine, shetani gani aliyewachagulia vyuma chakavu?
I can still stand by dar side and shouting that Dar has muscles to battle Luanda...I don't have any reason to post dar pics as you have them in hundredsnimemwambia Luanda iko lvel ingine haskii huo mshamba
Our airport is only small but ain't ugly,Even world is laughing at you when you say cattle dip, that is words of mouth only that won't break a bone. ..
nilidhani uliitisha picha za luanda...haya ndio hio umeletewa...mbona wasiwasi...lta picha za Dar basi tufananisheI can still stand by dar side and shouting that Dar has muscles to battle Luanda...I don't have any reason to post dar pics as you have them in hundreds
Sasa luanda ni mji mdogo sana tena sana inaingia kwa dar zaidi ya mara 10, tuliza akilihuu ndio mji wanafananisha na Dar😀😀😀
![]()
Jibu kwanini mnathamini kiingereza kuliko lugha yenu ya taifa....watumwa ninyi?By the way, it has just hit me...Can Nairobi compete with Luanda?
😀😀😀😀 Kisu cha ngariba kimekita sehemu yakevitu vya kishamba usiniletee tafadhali ndugu...nakuheshimu sana
zungumza na picha...sio kufululiza ushamba hapaSasa luanda ni mji mdogo sana tena sana inaingia kwa dar zaidi ya mara 10, tuliza akili
Kwenye makende 😀😀😀😀 safari hii dar inawapumulia kisogoni![]()
wapi hapo![]()
sababu tuna tambua kuwa ndio lugha ya kimataifa kwa sasa...kiswahili ikigeuka na kuwa lugha ya kimataifa na kibiashara tutabadilisha haraka...inaitwa exposure...hata wachina wameanza kujifunza kiingereza kwa ajili ya biasharaJibu kwanini mnathamini kiingereza kuliko lugha yenu ya taifa....watumwa ninyi?
Kwenye makende 😀😀😀😀 safari hii dar inawapumulia kisogoni
Hvi luanda ni mji unaeza ringanisha na dar bila shaka akili yako haiko sawa, luanda imejengwa sehemu moja tu majengo yao asilimia 80 yapo hapa tuzungumza na picha...sio kufululiza ushamba hapa
Lagos ndio mji mkubwa kabisa Afika nzima...Johannsburg inaingia kwa Lagos mara ngapi?? ila usijaribu kufananisha Lagos na Joburg![]()
![]()
![]()
dar ndio imejengwa sehemu moja nje ya cbd hakuna kituHvi luanda ni mji unaeza ringanisha na dar bila shaka akili yako haiko sawa, luanda imejengwa sehemu moja tu majengo yao asilimia 80 yapo hapa tu
View attachment 635009
picha ndio hio hapo...leta moja ya Dar inayokaribia hio kisha tuongeeHvi luanda ni mji unaeza ringanisha na dar bila shaka akili yako haiko sawa, luanda imejengwa sehemu moja tu majengo yao asilimia 80 yapo hapa tu
View attachment 635009