Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii barabara ina lane ngapi?


interchange-project-ongoing-tanzania_620x350.jpg
4 ...brt is different
 
nyie mnaimba imba eti SGR, sie sasa hivi tunazungumzia subway...SGR tulishaichoka
 
do you know what bullet trains are? even England hakuna bullet trains...
Habari ndiyo hiyo, this is new Tanzania, mwanzo mlibisha kwamba hatuwezi jenga electrical railway, baadae mkabisha hatuwezi kuwa na pesa bila kukopa, sasa bullet train ni bei gani kama tumelipia $3.2B from our pockets?, wewe subiri uje usafirie bullet trains hapa Africa, acha kufikiria UK, HAPA KAZI TU
 
Habari ndiyo hiyo, this is new Tanzania, mwanzo mlibisha kwamba hatuwezi jenga electrical railway, baadae mkabisha hatuwezi kuwa na pesa bila kukopa, sasa bullet train ni bei gani kama tumelipia $3.2B from our pockets?, wewe subiri uje usafirie bullet trains hapa Africa, acha kufikiria UK, HAPA KAZI TU
mtapata electric trains hio nina uhakika ila bullet trains sahau....hata wachina zinawashinda...the technology and power that bullet trains need hamna...pili, bullet trains zinataka pesa nyingi sana hata SA hawawezi wakapata pesa hizo....una shilingi mbili mfukoni kisha unatamani kununua pipi..lol!
 
mtapata electric trains hio nina uhakika ila bullet trains sahau....hata wachina zinawashinda...the technology and power that bullet trains need hamna...pili, bullet trains zinataka pesa nyingi sana hata SA hawawezi wakapata pesa hizo....una shilingi mbili mfukoni kisha unatamani kununua pipi..lol!
Haziwezi kumaliza $1.5B, kwa uncle Magu hiyo ni pesa ya kununulia mboga, tuliza mshono na ukae pembeni uone Tanzania mpya, kama $6.5B ya kujenga reli ipo, vipi tushindwe $1.5B, ulishaona wapi mtu aliyenunua viatu akashindwa kununua sox?..this is new Tanzania...HAPA KAZI TU..
Habari ndiyo hiyo, this is new Tanzania, mwanzo mlibisha kwamba hatuwezi jenga electrical railway, baadae mkabisha hatuwezi kuwa na pesa bila kukopa, sasa bullet train ni bei gani kama tumelipia $3.2B from our pockets?, wewe subiri uje usafirie bullet trains hapa Africa, acha kufikiria UK, HAPA KAZI TU
 
ndio maana nikakuambia mwaka wa 2020, tayari Nairobi itakua na light rail pamoja na bus lanes..Pretoria hamna chochote, pengine miji kama Johannesburg, Durban na Cape...Casablanca ni mji flat... hamna hata skyscrapers za maana ila zipo light rails na BRTs pamoja na stadium za kisasa..Casablanca kumejaa tu majengo meupe ya kiislamu....BTW, Nairobi na Luanda tu ndio kuna majengo marefu ya kisasa yanayojengwa wakati huu...nyie hata Luanda tu hamuioni with ur fishing LDC village
Casablanca unavopataja jiangalie vizur...even though they don't have scrapers but are way better than pathetic nai. ..

Luanda have muscles to invest on scrapers yes...and if you can prove me how better they are now that will be more impressive...unless Dar is still better on scrapers than Luanda
 
nyie mnaimba imba eti SGR, sie sasa hivi tunazungumzia subway...SGR tulishaichoka
Sema mmechoka disel locomotives...SGR ya kishamba kuwahi kujengwa ukanda huu...mkapige picha kwenye terminus ndio mahali pakufutia machozi
 
looking foward for the day we shall see such from our neighbours from the south
trend13-15.jpg
 
looking foward for the day we shall see such from our neighbours from the south
trend13-15.jpg
Nancy sumari aliwah shika nafasi ya 6 miss world, naona mganga mlimtumia sahv kafanya kazi me kiwango cha kimataifa
 
Sema mmechoka disel locomotives...SGR ya kishamba kuwahi kujengwa ukanda huu...mkapige picha kwenye terminus ndio mahali pakufutia machozi
trains za disel ndio ila zipo...sio watu wa kuimba imba na hamna chochote...washamba wa Dar😛😛😛
 
Casablanca unavopataja jiangalie vizur...even though they don't have scrapers but are way better than pathetic nai. ..

Luanda have muscles to invest on scrapers yes...and if you can prove me how better they are now that will be more impressive...unless Dar is still better on scrapers than Luanda
kufananisha Dar na Luanda ni upumbavu wa hali ya juu...wale wamewachapa bao 20 kwa mtungi...umeanza kupoteza akili ww jamaa...
 
kufananisha Dar na Luanda ni upumbavu wa hali ya juu...wale wamewachapa bao 20 kwa mtungi...umeanza kupoteza akili ww jamaa...
Weka nyumba zao ndefu hapa tufanye comparison...shida ni nn kupata convulsions kabisa kisa Luanda?
 
the boys are back with a banger and a matching 1080 pixel HD video
 
Back
Top Bottom