Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa nini isitungwe sheria Ili iwe amri badala ya kumwachia Mwekezaji aamue atakavyoona yeye inafaa?

View: https://twitter.com/MadiniTanzania/status/1724280910185411065?t=KCjWmRQJhpdHIz3f7VHIxw&s=19

Jibu alitoa Rostam kwamba Mwekezaji anatafuta mahala ambapo anaamini pesa yake inaweza kuwa salama baada ya uamzi.

Kwamba Mahakama za ndani mara nyingi zinaingiliwa hivyo Wakuu wanaweza piga simu au mpa jaji maelekezo kwamba ya uamzi vinginevyo hana kazi,rejea Kauli za Jiwe kwamba Serikali ilishindwa tena kesi Jaji na mawakili hamna kazi.

So Mimi nadhani ni kutafuta watu competent na wazalendo wanaoweza kuipogania Nchi vizuri tofauti na hapo watachukua pesa Nchi ishindwe.

Mwisho tuepuke au kupunguza mazingira yanayoweza tupelekea kwenye kesi kadiri inavyowezekana
Jibu lake hilo hapo ulishalisemaga. Ila kwa sababu ya ufinyu wa akili hukumbuki unachoongea
 
Wachana na hayo mafuriko, tizama basi la shule kwenye hii video. 😂😂😂


View: https://x.com/citizentvkenya/status/1724357338658635823?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw

Wakenya wakienda motoni basi wanauwezo wakukata rufaa 😅😅😅😅

Manake hapo walipo ni motoni tayar
Screenshots_2023-11-14-19-26-42.png
Screenshots_2023-11-14-19-27-00.png
Screenshots_2023-11-14-19-27-20.png
 
Back
Top Bottom