KOMANDO YOSO
JF-Expert Member
- Sep 7, 2023
- 819
- 2,864
MAUMIVU ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐คฃ ๐คฃ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Mnayo iyo BRT sasa๐๐๐๐
Si mnapenda kuitaja taja Tanzania!
View: https://x.com/railajunior/status/1721543194142204118?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Kenya tulichoka na SGR tangu 2017. Danganyika bado hamjwahi experience SGR yani miaka 7 baadaye. Must be sad to be a Bongolala.
Quality za Barabara Ukunyani hebu angalieni zilivyo nyembamba!
Hakuna lanes demarcation hakuna sidewalks!
View: https://twitter.com/_Mwangi_1/status/1721206089671147742
Nakuona unajisumbua na malamani yako ayo vipi umepata cha usiku ๐ ๐ ๐๐๐๐Angalia barabara kwenye mtaa wenu wa 'kifahari' kuliko zote Masaki
View attachment 2806360View attachment 2806361View attachment 2806362
Angalia zilivyo na lami ya hali ya juu, ni pana, ziko na demarcations, na pia sidewalks
Mchina hatoona mlango wa pepo๐ ๐ ๐
Weka picha ya hiyo Electric Loco ya kunya land.View attachment 2805606
zenu za hali ya juu zimebeba mizigo tani ngapi au zmebeba abiria millioni ngapi?
Anayejisumbua ni huyo kilaza mwenzakoNakuona unajisumbua na malamani yako ayo vipi umepata cha usiku ๐ ๐ ๐๐๐๐
It's them who are actually admiring and posting our league matches. This isn't done by ordinary folks, but their highly respected media personalities.Cameroon, Senegal, Mali, Nigeria, Togo etc. are all footballing countries ranked higher than TZ.
Yet they're even bigger shitholes. ๐ ๐ ๐
Kazi yenu imekuwa kila siku kupost video za mpira wenu, kwani hamna mengine yanayofanyika nchi? ๐๐
Punda imechoka imeamua kulala ๐ ๐ ๐
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1721446171367862354?t=tIT2s6lzTaR312xMrF4ACA&s=19
Nilikuwa nakunywa kawine changu, nimepaliwa kwa hili povu ๐คฃ๐คฃWe nawe kila tukio Kenya unaleta humu. Sasa bi nini ajabu hapo. Ama Tanganyika ajali kama hizo hazifanyiki?
Alafu angalia watu wa Marakwet ndio hao wako karibu kuvuna mahindi. Lakini kila siku hapa tunaambiwa Tanzania unalisha Kenya. Ama hizo mashamba zinamilikiwa ma watanzania?
Ukweli ni kwamba wanaiogopa sana Tz๐๐Hawawezi kupush mambo yao bila kuitaja Tanzania