Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
Nakubaliana na wewe kabisa, unajua hata Bwana Mwai Dickson Sadima ni Yanga lia lia, hawezi kusema humu ila ukweli ndio huo, na venye tumeishajua address yake tutamtumia jersey zetu mpya😅😅😅Bro, wakenya wengi wanashabikia Simba na Yanga, tena ni mashabiki wanazi kabisa, wanapita pale kazini wakiwa na jezi na bidhaa kadha wa kadha za hizi timu na wanashangilia kabisa, jana kuna mkenya bahati nzuri ni Yanga mwenzangu alikuwa anarudi kwao akaniambia leo Simba hatumuachi hata afanyeje. Ofcz hizi timu zina mashabiki wengi sn, jana nmeangalia mpira mule mule kazini wazungu kwa waafrika wameketi wanasubiri flight zao lkn wakawa wanashangilia sn, hizi timu zetu zina mvuto wa asili, tukiendelea kuzi brand zitafika mbali sana.
Cc Mwai Sadima Dickson mwaiofhawaii kumbe wewe ni mwananchi na husemi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakubaliana na wewe kabisa, unajua hata Bwana Mwai Dickson Sadima ni Yanga lia lia, hawezi kusema humu ila ukweli ndio huo, na venye tumeishajua address yake tutamtumia jersey zetu mpya😅😅😅
I see you got jokes… but I will humbly accept a Young Africans FC Jersey ..…🤣🤣🤣Cc Mwai Sadima Dickson mwaiofhawaii kumbe wewe ni mwananchi na husemi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
First of all, the first section is under construction. Secondly, even when under construction, it's still better than 70% of the roads in Masaki - the richest neighborhood in Tanzania where 70% of the roads are untarmaced.unaumwa mavi wewe!
Barabara nyingi za Tz zipo hivi 👇
View: https://www.instagram.com/reel/CzRmCTjN9iL/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==.
Lazma awape msaada wa unga! Maombi ya Unga hayakosi kwenye agenda!Another Foreign leader jets in… I lost count already….
View attachment 2806013
zenu za hali ya juu zimebeba mizigo tani ngapi au zmebeba abiria millioni ngapi?Uko na picha hapo ya hizo Gari moshi kutoka Chinese museums?
🤣🤣🤣🤣