Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The weather is not good. I will be in many estates and bring you updates.
Tunajua lazima utoe boko, wakenya tunawajua vzr, midomo mipana lkn hamna kitu, tunasubiri hizo updates 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Azam ndio brand kubwa ya media huko lazy land kwahivyo lazima mtazitazama mechi za KPL. Nikama kuweka kipindi citizen TV, lazima wakenya wataitazama. Tena bado mnatupatia pesa Zenu za madafu 😀
So, Azam wao ni wajinga kuwaletea azam tv huko kwenu? Kwahiyo hamuangalii mpira? Mtake msitake lazima mnunue madishi ya Azam ili mtazame ligi yenu, na Azam inakwenda kuwa Tv inayotazamwa zaidi Kenya mtake msitake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jana nimeona bendera kadhaa za Kenya kwenye derby ya kariakoo, ni suala la muda tu Kenya yote kushabikia Simba na Yanga.
Bro, wakenya wengi wanashabikia Simba na Yanga, tena ni mashabiki wanazi kabisa, wanapita pale kazini wakiwa na jezi na bidhaa kadha wa kadha za hizi timu na wanashangilia kabisa, jana kuna mkenya bahati nzuri ni Yanga mwenzangu alikuwa anarudi kwao akaniambia leo Simba hatumuachi hata afanyeje. Ofcz hizi timu zina mashabiki wengi sn, jana nmeangalia mpira mule mule kazini wazungu kwa waafrika wameketi wanasubiri flight zao lkn wakawa wanashangilia sn, hizi timu zetu zina mvuto wa asili, tukiendelea kuzi brand zitafika mbali sana.
 
Back
Top Bottom