ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sasa checki eti Var room huku South. Si mngeacha tu !!! Ona kiti. Bona Tanzania hupenda kuiaibisha Afrika Mashariki!?
View attachment 2786940
Asante CAF na wataondoka nazoView attachment 2787364View attachment 2787367View attachment 2787368View attachment 2787369
Kunyan roho zinawauma kwa roho mbaya
Unateseka ukiwa wapi?Asante CAF na wataondoka nazo
VAR ipo mda mrefu tu mbona. Sisi tuko mbali kwa sasa, when it comes to football msee.Asante CAF na wataondoka nazo
International! 😂😂😂
View: https://x.com/fredrickmaina95/status/1715227512878375116?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Wakati mmefungwa na Kenya kwa miaka 15.VAR ipo mda mrefu tu mbona. Sisi tuko mbali kwa sasa, when it comes to football msee.
Mkandarasi wa mchongo wa kina ichoboy01 amefilisika 🤣🤣
View: https://twitter.com/JamiiForums/status/1715349878451126554?t=JbnGs8GPm4U75UR_D0vgfg&s=19
Kibera boy imekuuma ?Sports infrastructure in LDC 🤣🤣🤣🤣
Cheap is expensiveUmuhimu wa kushindanisha kandarasi ndo unakuja hapa! Kadogosa kashatutia kidole! Sasa aje aeleze tena ule upuuzi aliotuambia! Na pia atueleze alipata wapi guts za kubishana na PPRA?
Hawa Yapi Merkezi wana kiburi wanangoja Waziri kaenda kugawa chai kwenye media halafu wametoa tangazo!
Na mliotetea ule ujinga mje mjieleze hapa!
CC:
Sama boy 255 n co!
naiogopa kivip njoo huku wewe kumenogaKumbe pia wewe unaiogopa kilimani hivyo
kwani inaisha wapi vile