Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuliza kende.
Huna akili za Uchumi labda hizo za kulamba miguu ya yule kichwa kubwa aliyetuingiza Chaka.
6742970da5.jpg
 
Kwa hoja kama hii ndio maana nilikuwa napinga ki Sgr uchwara kisicho na maana

View: https://twitter.com/dseinsights/status/1714656045472022755?t=loeQXffQR5gwMpN-TITeJA&s=19

Ww unawaza barabara lakini maintenanace ya barabara ni kubwa sana sana alaf barabara haikai muda mrefu imezidi sana 10 yrs tena hio kwa kubembeleza na viraka juu na maintenanace za kutosha lakini reli inauwezo wakukaa hata miaka zaidi ya 50 mpaka 100, reli ni muhimu ww kama huoni umuhimu wa reli safiri walau uende hata ugahibuni ukasafishe hzo kokwa

Alaf pili tanzania inakadiriwa kua na watu mara mbili ya sasa after 30yrs unategemea nn ww?
 
Ww unawaza barabara lakini maintenanace ya barabara ni kubwa sana sana alaf barabara haikai muda mrefu imezidi sana 10 yrs tena hio kwa kubembeleza na viraka juu na maintenanace za kutosha lakini reli inauwezo wakukaa hata miaka zaidi ya 50 mpaka 100, reli ni muhimu ww kama huoni umuhimu wa reli safiri walau uende hata ugahibuni ukasafishe hzo kokwa

Alaf pili tanzania inakadiriwa kua na watu mara mbili ya sasa after 30yrs unategemea nn ww?
Kuna watu wapuuzi sana halafu anajiita DSE Insights!
 
Ww unawaza barabara lakini maintenanace ya barabara ni kubwa sana sana alaf barabara haikai muda mrefu imezidi sana 10 yrs tena hio kwa kubembeleza na viraka juu na maintenanace za kutosha lakini reli inauwezo wakukaa hata miaka zaidi ya 50 mpaka 100, reli ni muhimu ww kama huoni umuhimu wa reli safiri walau uende hata ugahibuni ukasafishe hzo kokwa

Alaf pili tanzania inakadiriwa kua na watu mara mbili ya sasa after 30yrs unategemea nn ww?
kuna swala la heavy cargo pia! Reli haikwepeki!
 
10 years down the line, from planning, designing, risk and economic assessments, financial solicitation, laws formulation.... And now a city rises from scratch.
Konza City is now entering self acceleration period.
The roads here are built with the highest world class technology.
They are called digital roads
View attachment 2786071View attachment 2786072View attachment 2786074View attachment 2786075
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kibaki naomba ufufuke uone ile kitu uliacha
 
Back
Top Bottom