Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,688
- 107,131
Wapi mtu ya Sugoi akiwa accorded invitation solo na Xi Jinping?
Wapi mtu ya Sugoi akiwa accorded invitation solo na Xi Jinping?
Hawa wajinga hawajui kuwa wao ni vilaza na miaka yote wamejikita kwenye kutekeleza matakwa na interest za westerners.Uliwah kujiuliza kwann alivoapishwa Xi jinping safar ya kwanza akaja tanzania ushawah jiuliza hilo swali ??😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jibu swali kwanza 👇👇👇Sababu ilikuwa kwa mpango wa serikali.
Ama unadhani state visit inaamkiwa leo na wiki ijayo ishafanyika?
Na sijui unachosema. Chinese presidents wamefika Kenya mara nyingi tuliwazoea 😂 😂
Uliwah kujiuliza kwann alivoapishwa Xi jinping safar ya kwanza akaja tanzania ushawah jiuliza hilo swali ??😅😅😅😅😅
Imeuzwa kwa nani??ww ndio ulikua dalali🤣pesa ipo na mumeuza dar port..smh
Alafu mnkatoka na zero medal that Olympic!!!Na pia kwa nini 2008 Beijing Olympic Torch Ulipita The United Republic of Tanzania Pekee kwa Africa? 😎🤣🤣🤣
View attachment 2785649
Boss kuna thread yako kwenye hili jukwaa unahusu mambo ya Mining reforms .Wewe ni mpumbavu! Nionyeshe mahali nilisifu uvunjaji wake wa mikataba usiozingatia sheria!
Ujuha, kuna thread yeko humu Praising JPM on Mining reforms.Angalau unajua nembo ya kebs inavyokaa, kuonesha bidhaa kutoka kenya zimejaa kwenye supermarkets zenu.. wengi wetu huku hatujui hata nembo ya
Kamaa hiiBoss kuna thread yako kwenye hili jukwaa unahusu mambo ya Mining reforms .
Wengi tulifaham na hatukuwa na shida na incompétence yake sababu tulitambua alijikuta tu pale na ilikuwa ni lazima atimize takwa la kikatiba,Kamaa hii
![]()
Tanzania’s tough mining laws paying off
Tanzania’s tough mining laws paying off SATURDAY JUNE 9 2018 In the first quarter of 2018, some 30,953kg of gold was produced at the Acacia and Stamico mines in Tanzania. FOTOSEARCH In Summary Mining now contributes around 4.8 per cent to the GDP, up from 3.5 per cent realised over the...www.jamiiforums.com
Vitu vingine ni kupotezea mkuu. Subir mtanange 2025, yule bibi lazima apumzishwe kwao na watu haohao ndan ya cabinet ya sasa. Saiz mnaweza msinielewe, lkn mda utaongea. Niko pale nausubir ufike
Hakika, kiongozi asiye na maono, wala guts za kufanya maamuzi sahihi upotevu wa muda .
Vichwa maji wa Kimwendazake mko wengi sana humu jf.Wengi tulifaham na hatukuwa na shida na incompétence yake sababu tulitambua alijikuta tu pale na ilikuwa ni lazima atimize takwa la kikatiba,
Tatizo Linaanza pale anaponogewa na kujiona kama anaweza na anataka aendelee 2025 ,
Sasa hivi nchi imepiga hatua elfu nyuma but bado anaona anaweza endelea. Hata baraza lake la mawaziri na makatibu wakuu none of them takes her seriously.
Mwambie mwanao alete mrejesho, hapaVichwa maji wa Kimwendazake mko wengi sana humu jf.
Zaidi ya kuropoka huwezi thibitisha Nchi ilivyorudi nyuma na Mimi naweza kukueleza maelfu ya hatua mbele.
Yes with his big begging bowl 🤣🤣🤣Our president addresses important high level meetings because he can. In Tanzania........
View attachment 2785703View attachment 2785705View attachment 2785706
Ndio Nchi imerudi nyuma hatua 1,000?