Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo inaitwa three level interchange, hamjawahi kujenga kama hiyo from the scratch, zaidi ya kuungaunga tu ilimradi mshindane na Tanzania 🤣🤣🤣🤣

But again, hilo eneo limeshabadilika hivi tunavyoongea, nkipata picha mpya nitaiweka humu, hizo nyumba zimeondolewa now, hapo ni pamoto sana kwa sasa.
Wewe povu zako tumezizoea hapa. Sasa mtu hajui definition ya three-level interchange ananiambia nini?
 
Runda
images - 2023-10-01T214435.465.jpeg
images - 2023-10-01T214844.628.jpeg
images - 2023-10-14T145503.443.jpeg
images - 2023-10-14T145054.386.jpeg
images - 2023-10-14T144830.781.jpeg

Palm+Valley+Location+1.jpeg

Halafu utasikia eti ooh Masaki, sijui mswaki, sijui makasi, sijui sarakasi...
 
Dodoma ina miti mingi kuliko Nairobi

Ushahidi huu hapa


View: https://vm.tiktok.com/ZMjCF5Aa9/

Naona tu vibush. Alafu napenda jinsi kila siku tukiwaonesha miti ya Nairobi mnasema eti Naipori alafu mkipata vimiti kidogo kwenye miji yenu mnaanza misifa eti ooh, Dodoma ina miti kuliko Nairobi ooh Arusha ina miti mingi kuliko Nairobi. Wanafiki nyinyi. 😂 😂 😂
 
Sababu za kuongezaka mapato ziko nyingi, tozo inayowabinya wananchi wa kawaida imeongeza mapato lakini inaumiza wananchi wa kawaida.

Uchumi wa kweli unatokana na uwekezaji wa ndani, ni baada ya kujjdhatiti ndiyo mnaleta wageni. Marekani na South Korea walifunga masoko yao kwa miaka mingi, mpaka walipojitosheleza ndiyo wakafungua nchi zao. Nyinyi waswahili hamtengenezi hata vijiti vya meno mnataka mfungue nchi? Ujuha huo.

Mara hii umeisahau Rites ya india iliyokuwa imenunua TRC? Kujenga SGR ya umeme (zaidi ya 1500Km) ni jambo la kawaida? Nitajie nchi gani Afrika iliyofanya hivyo?

Kuwaminya wananchi kwenye tozo ili kulipa madeni ya chanjo za Covid sawa ila kutumia hizo pesa kuendesha mashirika ya umma, kosa. Akili za tumbili hizi.
Tuache hizi mbanga zimekaa kishamba sana, SGR ingejengwa with or without JPM, ndio maana hayupo na inaendelea kujengwa, mipango aliianza Mkapa, JK akajaimplement (alishasaini hadi Mkataba na Wachina) JPM alikuja kuiredesign na kuanza kuijenga. Hizi thinking hazina tofauti na zile thinking za bila Nyerere tusingepata uhuru, muda wa kupata Uhuru ulifika Afrika nzima ikawa huru kama ambavyo ni muda wa Afrika kujenga miundombinu, ndio maana unaona karibu kila nchi inajenga reli, viwanja vya ndege, miji mipya, mabarabara n.k.

Kama hata nchi zenye viongozi mbulura kama Kenya wamejenga SGR sisi na Viongozi wetu makini wanaojielewa tusingeshindwa kufanya haya yote tuliyofanya, ni mipango ilikuwepo ila tunakubali kwamba kila Kiongozi ana drive tofauti ya kupush mambo, JPM alijitahidi sana yes, lakini tuwashukuru wote kwa walichofanya, Serikali inaendeshwa na watu na sio mtu mmoja, tuache hizi ligi za kitoto za sijui bila huyu hiki kisingefanyika ni sawa na wewe udhanie kuwa siku ukiacha kazi kampuni itakufa, you will be replaced na usiamini na mambo yanaenda tu.
 
Back
Top Bottom