Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sababu za kuongezaka mapato ziko nyingi, tozo inayowabinya wananchi wa kawaida imeongeza mapato lakini inaumiza wananchi wa kawaida.

Uchumi wa kweli unatokana na uwekezaji wa ndani, ni baada ya kujjdhatiti ndiyo mnaleta wageni. Marekani na South Korea walifunga masoko yao kwa miaka mingi, mpaka walipojitosheleza ndiyo wakafungua nchi zao. Nyinyi waswahili hamtengenezi hata vijiti vya meno mnataka mfungue nchi? Ujuha huo.

Mara hii umeisahau Rites ya india iliyokuwa imenunua TRC? Kujenga SGR ya umeme (zaidi ya 1500Km) ni jambo la kawaida? Nitajie nchi gani Afrika iliyofanya hivyo?

Kuwaminya wananchi kwenye tozo ili kulipa madeni ya chanjo za Covid sawa ila kutumia hizo pesa kuendesha mashirika ya umma, kosa. Akili za tumbili hizi.
Unaongea utopolo na upuuzi baada ya kukosa hoja.

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1703835446424248825?t=_n7tXuyIqC9yB_ljj9YXEA&s=19

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1701263553087340718?t=rhZBJMMAx_uAXCFf4UproA&s=19

View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1694365272822469016?t=_eFLtw4QMjPjr_H6ixSU1A&s=19
 
Acha fujo. Angalia hizi picha vizuri. Kisha fikiria Dar es Salaam, kama mtu anayeijua Dar es Salaam. Kisha vuta taswira.
View attachment 2781378View attachment 2781379
Kuna nn kipya hapa, kuna cable bridge? Kuna electric train inakatiza? Kuna nn hapa cha ajabu ambacho Mogadishu hakuna, apartment?🤣🤣🤣🤣

Hebu niambie ni kitu gani kipo hapo ambacho hakipo Bujumbura, kuna BRT hapo? Kama pori hata Congo lipo mzee, nyie bado sana, tumewaacha mbali kwa sasa.
 
😂😂😂😂😁😁😁
Screenshot_20231014-095029.jpg
 
Wakati nyie mnarudia rudia picha kwa vitu vile vile on a daily basis, sisi tunazidi kuwaacha kwa kufanya mambo mapya na kujenga miji mipya kila inapoitwa leo
Sema tu umeumia kijana wa Tandale. Picha zinarudiwa huku pande zote. Sijaona picha mpya ya Dar imepostiwa huku, ni yale yale since 2017 so wacha kujifariji na na maneno mengi yasiyo na maana.
 
Back
Top Bottom