Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi is just beautiful
0fd09efcaa424ad491e6534e3a4ef9d3_387740123_1680103802499701_6780454951098499668_n.jpg
546a34bee35d41ed8f2e3559821abbd0_391282386_255703890802566_7277245544375973400_n.jpg
64101dac58fa4f12a57195d8e8117fee_387675531_1411858409428654_2126413734540965902_n-jpg.2781332
aa0614e32847456e9a15917ef42b23e2_387685425_694780288903157_7103654744249777171_n.jpg
 

Attachments

  • 64101dac58fa4f12a57195d8e8117fee_387675531_1411858409428654_2126413734540965902_n.jpg
    64101dac58fa4f12a57195d8e8117fee_387675531_1411858409428654_2126413734540965902_n.jpg
    408.2 KB · Views: 24
  • aa0614e32847456e9a15917ef42b23e2_387685425_694780288903157_7103654744249777171_n.jpg
    aa0614e32847456e9a15917ef42b23e2_387685425_694780288903157_7103654744249777171_n.jpg
    321.2 KB · Views: 15
Alafu eti AFCON fainali ichezwe kwao, si watarushia mashabiki mifuko yao ya mavi wanayokunya usiku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
TZ ni kawaida watu elfu 60 kuujaza mkapa stadium na baada ya match kila mtu ataenda kwake bila kusikia uhalifu wowote,hali kama ile ya kiusalama never aiwezi kutokea kunyalazy,wakora baada match watawapiga watu na kuwaibia watu,kunyan wizi upo kwenye damu
 
Hahaha…. Kwani wewe ni wale Wakikuyu wanaishi Bongo…. 😄😄..Lakini every Kenyan in this thread takes you seriously since you debate intelligently….that’s why I insist you are based somewhere abroad…
You can take a person out of a village, but you can't take the village out of a person, in that sense it doesn't really matter where we're at on this beautiful planet of ours, we all eat, shit and die!
 
Unajichanganya kifikra, mara wawekezaji ni wafanyabiashara, mara wanatusaidia. Dhumuni la kufanya biashara ni kupata faida, siyo kusaidia watu.
Wewe Mzee punguza ujinga kasome Law ya Smith.Mimi sijichanganyi ila huelewi mambo ya uchumi.

Your personal motive creates welfare and opportunities to other though not your primary goal.eg unakuja kuwekeza Kwa motive ya faida ,in the course of that motive utalazimika Kuajiri watu,ku extract resources Kwa mitambo or anything in turn umempa maisha ukiyemwajiri,utalipa Kodi,utaweka miundombinu nk nk.

Kama hamjasoma uchumi msiwe mnashika madaraka maana hamuelewi mnachofanya.
 
Acha na mambo ya nadharia bana, hizo laws na theories wenzako tumezisoma mpaka zikatukimbia, tume dili nazo toka tukiwa watoto na tumezitumia professionally.

Hapa tunaongelea uwezo mdogo wa viongozi wetu kutojiamimi wao wenyewe kutengeneza opportunities, mpaka waombe msaada kutoka nje.

Wote tunakumbuka watu wenye mitazomo hiyo (mf Kikwete) walituaminisha kuwa hatuwezi kuendesha shirika letu la reli, hivyo tulitakiwa tuliuze kwa wahindi, matokeo yake Rites wakaliua shirika letu.

Wakaja watu waliojiamnini kuwa tunaweza, wakalifufua na kupitiliza kwa kuleta treni za umeme, mpaka na wewe unajidai. Sasa tunarudi kule kule kutokujiamini; hatuwezi kuendesha wenyewe, sisi masikini, waje wahindi watujengee hospitali. Wahindi siyo wajomba.
Niache nadharia,kwani unazoita nadharia zikitoka wapi kama sio kuchunguza behavior ya kitu? Utafiti umethibitisha hilo. Ingekuwa ni nadharia wawekezaji wasingesaidia Tzn kuvuna 2.1 T Kwa mwezi kutoka rekodi ya 1.4T Kwa mwezi ambayo Mwendazake was struggling kuipata.

Kutojiamini labda ni opinion Yako,kwani kutoshirikiana na wengine ndio kujiamini? Au una maana gani? Waliojiamini Wakifanya kipi Cha ajabu ambacho hakipo hapa Afrika achilia mbali Duniani.

Shirika lipi lililofufuka na lilikufa? Kujenga Sgr ni jambo la ajabu ipi wakati Sgr ziko huko Ethiopia kitambo tuu? Mbona mnazuzuka na vimambl vidogo sana,utasikia flaiova Kuna kitu Cha ajabu hapo kweli hadi uzuzuke kama mjinga?

Kufufuka Kwa mashirika ni faida vinginevyo ni upumbavu kuchukua Kodi zetu kwenda Kuendeshea mashirika yasiyoleta faida wakati yalitakiwa kuleta faida,weka unabisha weka balance sheet na financial statements tmya TRC ya Mwendazake.
 
Mnafosi tuwe sawa ila sisi kwenye soka hatupo sawa na nyinyi na wala hatushindani na nyinyi, tushatoka huko kushindana na vitimu vya region ya kipuuzi na isiyojua soka ya EA, level zetu ndio hizo unaziona Morocco, Congo, Nigeria et al sio nyie EA. Hata kwa ngazi ya vilabu level zetu mnazifahamu kwa sasa ni Al ahly, Mamelody et al.

Msifosi tufanane na sio kila kitu cha kushindana nendeni mkashindane kwenye mbio za mita 10,000 but not soccer 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado haibadilishi rekodi ya kuwafunga miaka 12.
 
Back
Top Bottom