Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ChoiceVariable njoo kidogo

🤣🤣🤣🤣. Nimesoma huu Uzi nikagundua muanzisha Uzi na wewe nyote ni vichaa 🤣🤣🤣. Sasa kweli sisi tujenge zile takataka kama zenu.? Zenye hazina hata CAF approved standards .? 🤣🤣🤣🤣 Aah mammaae .. tuliza kalio uone tutakachofanya. Viwanja vinne tutakavyokuwanavyo kwaajili ya Afcon, vitatu ndio vitakua viwanja vizur zaidi na bora top 3 in East and Central Africa. Kwanza vinajengwa maeneo ambayo ni very strategic. Imagine Zanzibar east Africa's paradise. Arusha Tz's tourism hub. DODOMA Tz's capital and by the time DOM itakua yamoto mnoo considering the fact that there are so many bigger projects going on there. DAR es salaam Lupaso stadium, muda huo Dar itakua covered na BRT in each and every single big road (barabara tatu kubwa Dar es salaam kwasasa tayari zipo covered na BRT, yaani 3 phases)+SGR 🚆 a.k.a joka. Yani kiufupi huo ni wakati ambao dunia itajua nani ni nani in East Africa..
 
🤣🤣🤣🤣. Nimesoma huu Uzi nikagundua muanzisha Uzi na wewe nyote ni vichaa 🤣🤣🤣. Sasa kweli sisi tujenge zile takataka kama zenu.? Zenye hazina hata CAF approved standards .? 🤣🤣🤣🤣 Aah mammaae .. tuliza kalio uone tutakachofanya. Viwanja vinne tutakavyokuwanavyo kwaajili ya Afcon, vitatu ndio vitakua viwanja vizur zaidi na bora top 3 in East and Central Africa. Kwanza vinajengwa maeneo ambayo ni very strategic. Imagine Zanzibar east Africa's paradise. Arusha Tz's tourism hub. DODOMA Tz's capital and by the time DOM itakua yamoto mnoo considering the fact that there are so many bigger projects going on there. DAR es salaam Lupaso stadium, muda huo Dar itakua covered na BRT in each and every single big road (barabara tatu kubwa Dar es salaam kwasasa tayari zipo covered na BRT, yaani 3 phases)+SGR 🚆 a.k.a joka. Yani kiufupi huo ni wakati ambao dunia itajua nani ni nani in East Africa..
Isitoshe viwanja vya aina ya Ukunyani vilijengwa miaka ya 70!
 
 
There is something for everyone 🤣🤣🤣
Screenshot_20230928-165722_X.jpg
 
Kenya ninayoijua ni kwamba kampeni za uchaguz za 2027 zitaanza rasmi 2025 mwishoni na kuchochea moto 2026 yote.
2027 mwanzon itakuwa hatar zaidi yaan kifup hakuna mtu atakanyaga hapo kunye kuangalia mpira.
 
There is something for everyone 🤣🤣🤣
View attachment 2765093
which business? Food mko na njaa, flight KQ ipo hoi na Air Tanzania na Uganda airlines r to vie the same routes! Tourism nairobi is no way to be compared to Zanzibar and Arusha looking at the trend mpaka hiyo 2027! Fools stop day dreaming!

Clarity sought on Kenya Airways' fleet, SAA deal
Kenya Airways FleetKenya Airways Fleet © Kenya Airways
27.09.2023 - 06:33 UTC
A Kenyan senator wants clarity on the government's measures to address an aircraft shortage at Kenya Airways (KQ, Nairobi Jomo Kenyatta), reports The Star newspaper.

Senate Committee on Roads, Transportation & Housing member and Nandi Senator Samson Cherargei wants the government to disclose the details and terms of current and planned aircraft leases and their commercial viability.

Speaking in Parliament on September 25, he has also called for transparency on the strategic partnership framework between Kenya Airways and South African Airways (SA, Johannesburg O.R. Tambo) for a pan-African airline group and whether it will result in a merger of the two airlines.

Mombasa Senator Mombasa Faki lamented that Kenya Airways has been making losses for years and become a burden to taxpayers. "If you look at the ticket from Nairobi Jomo Kenyatta to Mombasa, it is not less than KES15,000 shillings (USD101). We are left to wonder whether the high cost is because of fuel, cost of running the company, or the debts the airline is supposed to repay," he said.

Kenya Airways was hit by a KES17 billion (USD117 million) loss due to foreign exchange fluctuations, resulting in a pre-tax loss of KES22 billion (USD151 million) in 3Q23 despite improved operational performance in the first half of 2023. A 14% devaluation of the shilling against major foreign currencies has seen its overheads climb by 22%.

The Kenyan government settled KES12.3 billion (USD85.3 million) of the airline's guaranteed debt in the financial year ending June 2023.

According to the International Monetary Fund (IMF), the government is working on a new business restructuring plan for Kenya Airways, with one prepared in May 2022 on hold as it aims to wean the airline off the national budget by December 2023.

According to the ch-aviation fleets advanced module, Kenya Airways' fleet comprises two B737-300(SF)s, eight B737-800s, nine B787-8s, and thirteen ERJ 190-100ARs, totalling 31 active aircraft, of which 17 are owned and 14 are leased.

Chief Operations Officer George Kamal told ch-aviation the airline was talking to manufacturers about options to phase out its older generation narrowbodies.

 
Mbona mnasumbuka mibongolalala?

This one is in deep in Meru county Villages. Owned by Peter Murira
View attachment 2764720

Somewhere in a village in Seme, Kisumu County
View attachment 2764838View attachment 2764839

Somewhere along the shores of Lake VictoriaView attachment 2764920

SiayaView attachment 2764922View attachment 2764924

A village in Nyatike, Migori County
View attachment 2764933
View attachment 2764932

Somewhere in Rakwaro, Migori CountyView attachment 2764938

Rapogi village, still in Migori CountyView attachment 2764939

Somewhere in KisumuView attachment 2764963

Another's one, still in Nyanza
View attachment 2764964
Sasa tukiamua kuleta moja moja kama hivi za vijijini kabisa na wala sio za kuiba mitandaoni na hizi si servers za JF zitacollapse?
 
which business? Food mko na njaa, flight KQ ipo hoi na Air Tanzania na Uganda airlines r to vie the same routes! Tourism nairobi is no way to be compared to Zanzibar and Arusha looking at the trend mpaka hiyo 2027! Fools stop day dreaming!
A communist Ujamaa infested brain would never understand…. Just wait utaona what that means…🤣🤣
 
Back
Top Bottom