Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya ninayoijua ni kwamba kampeni za uchaguz za 2027 zitaanza rasmi 2025 mwishoni na kuchochea moto 2026 yote.
2027 mwanzon itakuwa hatar zaidi yaan kifup hakuna mtu atakanyaga hapo kunye kuangalia mpira.
Huu wimbo hata mwaka uliopita mliuimba
 
Kitu kimoja na wewe nikwamba unajua kuropokwa lakini ukiambiwa ulete data unapotea, mpaka sasa hujanipa units za magari mlizoshusha mwezi Jana. JKIA ndio aviation hub ya east afrika
Hiii.!! 🙄🙄 data tena..?. Bro me naijua Zanzibar kwa kuiona sio story za sijui nini, NO.. kama unajiamini unashindwa nini kwenda ground.? in Africa seeing is believing..
 
Hv nani aliloga hizi mbwa za kenya??? Are these idiots mentally fit?? Yaan mtu hata UNGA tu unamshinda but he is here very busy bragging about things he has never even seen👎👎 Mtu mwenye akili kwel anaweza kudhubutu kutaja Zanzibar kwenye sentence moja na kilifi,sijui mombasa kwel kwenye hotel?? Wakat nairob tu haiwez zenj
 
Another one
Screenshot_2023-09-28-19-30-53-68_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
20230928_193115.jpg
 
🤣🤣🤣🤣. Nimesoma huu Uzi nikagundua muanzisha Uzi na wewe nyote ni vichaa 🤣🤣🤣. Sasa kweli sisi tujenge zile takataka kama zenu.? Zenye hazina hata CAF approved standards .? 🤣🤣🤣🤣 Aah mammaae .. tuliza kalio uone tutakachofanya. Viwanja vinne tutakavyokuwanavyo kwaajili ya Afcon, vitatu ndio vitakua viwanja vizur zaidi na bora top 3 in East and Central Africa. Kwanza vinajengwa maeneo ambayo ni very strategic. Imagine Zanzibar east Africa's paradise. Arusha Tz's tourism hub. DODOMA Tz's capital and by the time DOM itakua yamoto mnoo considering the fact that there are so many bigger projects going on there. DAR es salaam Lupaso stadium, muda huo Dar itakua covered na BRT in each and every single big road (barabara tatu kubwa Dar es salaam kwasasa tayari zipo covered na BRT, yaani 3 phases)+SGR 🚆 a.k.a joka. Yani kiufupi huo ni wakati ambao dunia itajua nani ni nani in East Africa..
Isitoshe viwanja vya aina ya Ukunyani vilijengwa miaka ya 70!

Kiwanja cha Dodoma yule mkwe wa samia ingawa simpendi, lakini pale kaitendea haki nchi. Kwa ubora ndani ni zaidi ya Emirates, mi sikupenda tu idadi na uchache wa watu 30 thousand lakini kwa ubora, haba Africa hakuna na vichache ulimwenguni.

Sijajua cha Arusha but given the ongoing marekebisho ya Uwanja wa taifa ambao utaisha July 2024 maana yake ni ukarabati wa nguvu na marekebishe mengi.

Sisi kama nchi tumepiga hatua kubwa kwenye mpira na moja ya ligi 5 bora Afrika hivyo tunayo experience juu ya aina ya viwanja tunavitaka kwaajili ya michuano mikubwa. Great advantage kuliko hawa wakimbia njaa.
 
Back
Top Bottom