Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Swali tu mi niulize! Hii Ubungo iko Town ama ushago. Plz I need an honest answer
View attachment 2757410
Kuna jamaa hapa nilibishana na yeye kuwa Dar ni mashambani tu mpaka nikachoka. Flyover ya kwanza wamejengewa na Magufuli ndio inawafanya waone wamefika level ya kubishana na Nairobi, a city that has the United Nations Headquaters in Africa. Only African city that was chosen.
 
Shida ni kwamba mnapenda kujipambaniza kwa wale jamaa wa xenophobia lakini hawana undugu nanyi, nenda kwa group za watanzagiza kule Fb uone vile wiki haipiti bila mmoja wenu kumalizwa. Alafu isitoshe munaitaji visa before arrival wakati wakenya ni visa free
Lete ushahidi msenge wewe..
 
Sisi sio ndugu zenu msifosi.
Shida ni kwamba mnapenda kujipambaniza kwa wale jamaa wa xenophobia lakini hawana undugu nanyi, nenda kwa group za watanzagiza kule Fb uone vile wiki haipiti bila mmoja wenu kumalizwa. Alafu isitoshe munaitaji visa before arrival wakati wakenya ni visa free
 
Huku nyinyi South Africa mnachinjwa kama kuku
Kwa upumbavu wako unadhani tukiongelea tuko south basi tunataka ujamaa na nchi ya south africa!hao south africa wametukuta kwenye SADC,nyerere alijua kabisa tuko south ila ukaribu wake na watutsi ndio akatugandisha pa1 na kina kunyan
 
Niwatakie usiku mwema
53202866961_ea9e60b95a_b.jpg
fdc160122faeca2c.jpg
 
Kwa upumbavu wako unadhani tukiongelea tuko south basi tunataka ujamaa na nchi ya south africa!hao south africa wametukuta kwenye SADC,nyerere alijua kabisa tuko south ila ukaribu wake na watutsi ndio akatugandisha pa1 na kina kunyan
Bongolalas please kuweni na msimamo…. Recently you were bragging how close you are to South Africa… we told you , mlikuwa tu kissing ass hoping to catch their attention…. Tukacheka tu…. Now i can travel to Jo’ burg without a visa ….Bongolalas hamuwezi na Mko SADC na wao …🤣🤣🤣🤣…. Do you know why countries abolish visa requirements for certain citizens of other countries?…. Jivunze kwanza kilaza…..🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bongolalas please kuweni na msimamo…. Recently you were bragging how close you are to South Africa… we told you , mlikuwa tu kissing ass hoping to catch their attention…. Tukacheka tu…. Now i can travel to Jo’ burg without a visa ….Bongolalas hamuwezi na Mko SADC na wao …🤣🤣🤣🤣…. Do you know why countries abolish visa requirements for certain citizens of other countries?…. Jivunze kwanza kilaza…..🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe kunyan southern afica kuna nchi 1 tu mnayoijua nyinyi pumbavu,,zambia,malawi na msumbiji ambazo tumepakana nazo ziko j'burg unapojipendekeza ww mkazi wa kibera!?
 
Nimeona kuna mtu amekuwa mbunge kuanzia 2005. Miaka 18 mpaka sasa hivi yeye bado ni mbunge. Nalia machozi asubuhi hii jameni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. "Nenda Jimboni kwake hakuna Barabara, maji Wala zahanati walimu wanaishi kwenye nyumba za tembe ila Umeme upo mpaka kwenye nyumba za tembe" 😂😂😂

Maskini akipata matako hulia mbwata 😂😂😂😂😂😂😂
 
So you just admitted the battle is over? 😂😂😂😂

Kenya is the giant of East Africa. Kama tunawatoa jasho hivyo Southern Africa mnadhani mtawezana? 😂😂😂😂😂😂
Wanaforce undugu na SA wakati wanauliwa huko.😂😂😂
 
Back
Top Bottom