Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mambo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2757332View attachment 2757333
Sasa, mwaka mzima hii kitu hivi tu!?
Hizi bullet train tulizoambiwa 2019, naona mkizitumia 2039!! Hamwezi fanya tu jambo likakamilika mkawaza mengine!? Miaka 20 burret zinakuja..
Magufuli ndio huyo akaenda zake, Mungu amrehemu, hakuziona, mama naye atastaafu bado hajaziona, lakini by 2039 bado Mitanzania itakuwa ikiimba burret train
 
Sasa, mwaka mzima hii kitu hivi tu!?
Hizi bullet train tulizoambiwa 2019, naona mkizitumia 2039!! Hamwezi fanya tu jambo likakamilika mkawaza mengine!? Miaka 20 burret zinakuja..
Magufuli ndio huyo akaenda zake, Mungu amrehemu, hakuziona, mama naye atastaafu bado hajaziona, lakini by 2039 bado Mitanzania itakuwa ikiimba burret train
Bado hawana stima ya kutosha na wanaongea kuhusu burretti train 😂😂😂😂😂😂😂
 
Nashangaa wanafosi tuwe ndugu yao wakati sisi ni wa South, honest speaking sipendi kweli wanaposema Tz ipo East Afrika wakati sio kweli, sisi ni wa South.
Siasa tu za chama cha kijani ila kiuhakika sisi tupo south hata kimuonekano tulivyo tuko tofauti sana na kunyan na waganda,tukikaa na wazambia na wamalawi hatuna tofauti hata na wamsumbiji
 
Siasa tu za chama cha kijani ila kiuhakika sisi tupo south hata kimuonekano tulivyo tuko tofauti sana na kunyan na waganda,tukikaa na wazambia na wamalawi hatuna tofauti hata na wamsumbiji
Unajua Angola is classified as a central African country? Na wapo chini yenu kwenye map 😂😂😂😂. Sisi ni mandugu wacheni siasa
 
Siasa tu za chama cha kijani ila kiuhakika sisi tupo south hata kimuonekano tulivyo tuko tofauti sana na kunyan na waganda,tukikaa na wazambia na wamalawi hatuna tofauti hata na wamsumbiji
Shida ni kwamba mnapenda kujipambaniza kwa wale jamaa wa xenophobia lakini hawana undugu nanyi, nenda kwa group za watanzagiza kule Fb uone vile wiki haipiti bila mmoja wenu kumalizwa. Alafu isitoshe munaitaji visa before arrival wakati wakenya ni visa free
 
Bado hawana stima ya kutosha na wanaongea kuhusu burretti train 😂😂😂😂😂😂😂
Watz bana ni lazy, hivi si wasimame waulize gava!! Mipango walianza pamoja na, Senegal, Ethiopia, Nigeria....
Ethiopia nikamaliza yao
Senegal ikamaliza yake,
Nigeria ikakamilisha ya kwao

Hadi Kenya ikapanga yake ikajenga

Bado Watz wanaimba bureti traini!!

Lazy minds.

Unajua hata katrain kalijaribu hiyo reli kalianguka!!!!? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Construction on the lower road continues
53202866961_ea9e60b95a_b.jpg
53202866966_ff3fe8a62f_b.jpg
 
Watz bana ni lazy, hivi si wasimame waulize gava!! Mipango walianza pamoja na, Senegal, Ethiopia, Nigeria....
Ethiopia nikamaliza yao
Senegal ikamaliza yake,
Nigeria ikakamilisha ya kwao

Hadi Kenya ikapanga yake ikajenga

Bado Watz wanaimba bureti traini!!

Lazy minds.

Unajua hata katrain kalijaribu hiyo reli kalianguka!!!!? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka sana🤣🤣🤣
 
Shida ni kwamba mnapenda kujipambaniza kwa wale jamaa wa xenophobia lakini hawana undugu nanyi, nenda kwa group za watanzagiza kule Fb uone vile wiki haipiti bila mmoja wenu kumalizwa. Alafu isitoshe munaitaji visa before arrival wakati wakenya ni visa free
Exactly. In fact Kenya and South Africa have many similarities than Tanzania and South Africa. South Africa are like our distant cousins. We are probably some of the few countries that have a meaningful constitution, two of the best economies in Sub-Saharan Africa, some of the best developed countries in Sub-Saharan Africa, large English speaking population etc.
 
Someone posted hereby about greatwall housing project. They are now going to phase 6. About 20 towers of 15 floors each. That will bring the total units to 7000 in a single project. The biggest ever in East and Central Africa
download (17).jpeg
 
Shida ni kwamba mnapenda kujipambaniza kwa wale jamaa wa xenophobia lakini hawana undugu nanyi, nenda kwa group za watanzagiza kule Fb uone vile wiki haipiti bila mmoja wenu kumalizwa. Alafu isitoshe munaitaji visa before arrival wakati wakenya ni visa free
Kuna taarifa nilituma hapa some Bongolalas were killed in Jo'burg because of crime. Wanaenda kuharibia wengine nchi wakidhani huko ni Kenya
 
Watz bana ni lazy, hivi si wasimame waulize gava!! Mipango walianza pamoja na, Senegal, Ethiopia, Nigeria....
Ethiopia nikamaliza yao
Senegal ikamaliza yake,
Nigeria ikakamilisha ya kwao

Hadi Kenya ikapanga yake ikajenga

Bado Watz wanaimba bureti traini!!

Lazy minds.

Unajua hata katrain kalijaribu hiyo reli kalianguka!!!!? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
CCM wanawaambia nchi ipo on the right track. Wapo karibu kuipiku Kenya 😂😂😂😂😂😂. Wanaambiwa eti kwa jirani sasa hivi ni moto tu, hawana akiba za Dora 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom