Kaa kimya unafikiri hesabu ya GDP inapigwa kirahisi hivyo kwamba una add percent ya GDP growth directly to the current GDP. GDP hesabu yake inahusisha vitu vingi tuu sio simple kama unavyofikiria.
Next year tutakuwa around 6.5% .Kwa miaka 5 ijayo tunaenda kufikia level za Ethiopia na Rwanda hapo ndipo tunaenda kuwachapa kama mbwa majizi.😁😁
Nadhani unajua projections kwamba by 2028 mtakuwa mnatusalimia Shikamoo kaka mkubwa.
Here is the path
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1699340547427582148?t=vlGpIhn8oyik8bZcTMb2-Q&s=19
Hakuna main high way, regio to region yenye ni barabara ya vumbi ndani ya Tz mjomba.Journey through Tanzania 2023
Main Highway Kigoma - Arusha![]()
![]()
![]()
Two illiterate Kenyans - so obsessed with Tanzania - wanadiscuss kuhusu Tanzania badala ya kujadili Ugali. 😂Punguza unachovuta.
Kenya na Tazania kwa growth rate projection zinasema tuko bumper to bumper.
Ili TZ ifikie Kenya by 2028, Kenya lazima growth rate yake ikuwe 0%.
Hivi wewe genius unadhani GDP growth inscalculatiwa kivipi?🤣🤣 It's so easy to please a pack of idiots using nonsensical statements.🤣Kaa kimya unafikiri hesabu ya GDP inapigwa kirahisi hivyo kwamba una add percent ya GDP growth directly to the current GDP. GDP hesabu yake inahusisha vitu vingi tuu sio simple kama unavyofikiria.
Clearly hujawai tumia hiyo barabara.Hakuna main high way, regio to region yenye ni barabara ya vumbi ndani ya Tz mjomba.
And this is true nani wakumwambia ukweli mwigulu au nape au makamba?? Watu wamegeuka kua machawa na kazi ya chawa ni kusifia tu hata kama wanona tunaelelekea kwenye moto wao kusifia tu
Wao vita yao kubwa kuu ni tanzania yani katika akili zao hua hawapendi kuona tanzania ikifanya maendeleo na vile walidanganywa kua tanzania imelala haina maendeleo sasa wanashtuka kutafuta shuka kushakucha 😁😁😁 ukiwakuta twitter hutaamini kama ni hawa kazi yao kutukana ruto tuTwo illiterate Kenyans - so obsessed with Tanzania - wanadiscuss kuhusu Tanzania badala ya kujadili Ugali. 😂
Kenya ni nchi ya wajinga wasio na priorities, wajinga wanaopenda maendeleo na urembo wa cosmetics.
Hakuna utajiri zaidi ya chakula.😂
Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza😂
Inamaana ukizoom tu makeup yote inaondoka sijui kuna eye shadow inavurugika pia😅😅Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza😂
Investor kajitahidi kuweka world class infrastructure ( Expressway) Pia kuna developer kajitahidi kaweka Jengo zuri hapo kulia. Ila mwenye wajibu wa kusogeza miundombinu sahihi kuendana na kasi ya wawekezaji kakaza fuvu kama wakundustan wenzake kaacha vumbi na kusababisha gharama za ziada kwa mwekezaji wa Jengo hapo. (Usafi kutoa vumbi) Yaani vumbi kama kijijini
View attachment 2741744
Pia kuna picha moja huwa tulikua tunaona vumbi karibu na hiki kijengo chao, Kumbe wamewekewa pavement , lakini walivyo wachafu pamerudi kama hakuna pavement na vumbi linarudi kwa kasi kama Taliban Afghanistan 😂
View attachment 2741745
Yafaa iwe dhambi mtu yeyote kutoka Dar es Salaam kuongelea vumbi. Hilo jii lenu lote ni vumbi ukitoa sehemu ndogo za CBD. 🤣Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza😂
Investor kajitahidi kuweka world class infrastructure ( Expressway) Pia kuna developer kajitahidi kaweka Jengo zuri hapo kulia. Ila mwenye wajibu wa kusogeza miundombinu sahihi kuendana na kasi ya wawekezaji kakaza fuvu kama wakundustan wenzake kaacha vumbi na kusababisha gharama za ziada kwa mwekezaji wa Jengo hapo. (Usafi kutoa vumbi) Yaani vumbi kama kijijini
View attachment 2741744
Pia kuna picha moja huwa tulikua tunaona vumbi karibu na hiki kijengo chao, Kumbe wamewekewa pavement , lakini walivyo wachafu pamerudi kama hakuna pavement na vumbi linarudi kwa kasi kama Taliban Afghanistan 😂
View attachment 2741745