ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,430
- 85,267
Huyu sio Mtanzania na hajui lolote kuhusu Tanzania. Tuliozakiwa Dar es salaam tulikua tukiona mnara unaowaka moto kule Kigamboni "TIPER" ambayo ilikua Crude Oil Refinery na ni miaka sasa tangu iache kurifine crude oil na kuwa storage facility.Rifinery bongo mbona ilikuepo tatizo usimamiaji ndo mmbovu bei ya mafuta haiwezi kuwa gharama kama unayachakata mwenyewe haiwezekani ww ndio unaleta porojo na ukiangalia bongo na angola zipo connected na tazara suala sio gharama ila ni kukosa kufikiria kwa viongozi wetu
Mzee tuusan , Uchumi wa Tanzania umekua Kwa 5.6% Kwa robo ya kwanza kinyume na matarajio ya 5.2%
Tuko kwenye right track in jiwe's voice View attachment 2741016View attachment 2741017
Next year tutakuwa around 6.5% .Kwa miaka 5 ijayo tunaenda kufikia level za Ethiopia na Rwanda hapo ndipo tunaenda kuwachapa kama mbwa majizi.😁😁5.6% mtafikia Kenya hii karne kweli? 😂 😂
Kenya is also projected to grow at 5-6% this year.
Inasikitisha kwelii yani refinery ilikuepo wameshinda kuindeleza mpaka imekufaHuyu sio Mtanzania na hajui lolote kuhusu Tanzania. Tuliozakiwa Dar es salaam tulikua tukiona mnara unaowaka moto kule Kigamboni "TIPER" ambayo ilikua Crude Oil Refinery na ni miaka sasa tangu iache kurifine crude oil na kuwa storage facility.
Mpumbavu sana huyo Mkenya.
5.6% mtafikia Kenya hii karne kweli? 😂 😂
Kenya is also projected to grow at 5-6% this year.
Elimu yao ni kujua englisha tu basi😅😅😅Kaa kimya unafikiri hesabu ya GDP inapigwa kirahisi hivyo kwamba una add percent ya GDP growth directly to the current GDP. GDP hesabu yake inahusisha vitu vingi tuu sio simple kama unavyofikiria.