Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mikopo ya REA kazi yake ni nn??? Kila wakat tunaona mikopo kwenye kila phase ya REA tuambie ww mdogo wake mwigulu nchemba kua zinafanya kazi gani??

Na uniambie hesabu ya 3T kwenye mafuta umeipata vp?? Kodi za mafuta nchi hii ziko zaidi ya 22 na zinachangia over 50% ya bei ya mafuta sasa nataka utueleze mikopo ya REA inakwenda wapi??? Na kodi za REA kwenye mafuta zinakwenda wapi???
Kazi yake ndio hiyo hiyo wanayofanya,Mkopo unapata Fedha fasta na nyingi ya pamoja , kwenye mafuta unadunduliza Kwa hiyo italipa deni.

Pili kwani hivi vihela vya Mafuta ndio vinatosha mahitaji ya Nchi?

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1689336851511799808?t=u0voruswz0oN2CGFqrtigA&s=19
 
Nilitegemea hili suala alilete ChoiceVariable lakini nikaona kimya nilimwambia jana sio kila kitu ni kupayuka kuna mambo hayako sawa kabisa na kama viatu ni vikubwa ieleweke kua viatu ni vikubwa sio tunakaa kusfiana sijui machawa sijui kina nani yani vurugu na mafuta ya nchi hii ukifatilia over 50% ya bei hio ni kodi yani mafuta yanakodi zaidi ya 22 mpaka sijui REA, REA inafanya nn kwenye kodi ya mafuta??

Nimeulizia mafuta tunduma ni 3380 nchi inakwenda wapi hii???

Jana wafanya biashara wa mafuta wamegoma kuuza mafuta mpaka mafuta yapande bei, serekali imekaa kimya na hatuelew mpaka sasa anaeongoza serekali ana lipi la kusema


View attachment 2740512
Tunaangaika sana badala ya kuagiza mfauta urusi kwa bei rahisi bado tunakimbilia mashariki ya Kati maza kama anaogopa kuvunja diplomasia basi aelekeze nguvu kwenye ecop ata ikiwezekana aweke hela mezani kma wawekezaji wanatuchelewesha
 
Tunaangaika sana badala ya kuagiza mfauta urusi kwa bei rahisi bado tunakimbilia mashariki ya Kati maza kama anaogopa kuvunja diplomasia basi aelekeze nguvu kwenye ecop ata ikiwezekana aweke hela mezani kma wawekezaji wanatuchelewesha
Huo mzunguko wa Safari kutoka huko Russia Hadi Tanzania mbona bei Bado itakuwa Juu?

Nchi gani za Africa zinanunua Mafuta kutoka Russia?
 
Huo mzunguko wa Safari kutoka huko Russia Hadi Tanzania mbona bei Bado itakuwa Juu?

Nchi gani za Africa zinanunua Mafuta kutoka Russia?
Maamuzi magumu ndio yanaitajika na icho mama hana kwani kujenga refinery hapa bongo inashindikaneje alafu tuwe tunanunua mafuta ghafi angola hapo tatizo viongozi wetu sijui wanakwama wapi wanachojua ni kusifia tuu ndo hawa wakina nape
 
Maamuzi magumu ndio yanaitajika na icho mama hana kwani kujenga refinery hapa bongo inashindikaneje alafu tuwe tunanunua mafuta ghafi angola hapo tatizo viongozi wetu sijui wanakwama wapi wanachojua ni kusifia tuu ndo hawa wakina nape
Acha porojo broo,wenye mafuta wenyewe Wameshindwa kujenga refinery ndio ije kuwa sie wa kutegemea yaletwe na meli?

Watu wameshalinganisha hasara zitakazopatikana vs faida Kwa hicho unaita maamuzi magumu.
 
Ww hujiulizi kwann mafuta yawe bei rahisi drc au namibia kushinda bongo
Hawajaweka Kodi kwenye mafuta ,40% ya bei ya mafuta ni Kodi na tozo za serikali.

Hizo Nchi unazozitaja hazina Cha refinery Wala jawaagizi Russia isipokuwa hawajaweka Kodi kwenye mafuta
 
Acha porojo broo,wenye mafuta wenyewe Wameshindwa kujenga refinery ndio ije kuwa sie wa kutegemea yaletwe na meli?

Watu wameshalinganisha hasara zitakazopatikana vs faida Kwa hicho unaita maamuzi magumu.
Rifinery bongo mbona ilikuepo tatizo usimamiaji ndo mmbovu bei ya mafuta haiwezi kuwa gharama kama unayachakata mwenyewe haiwezekani ww ndio unaleta porojo na ukiangalia bongo na angola zipo connected na tazara suala sio gharama ila ni kukosa kufikiria kwa viongozi wetu
 
Back
Top Bottom