Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Most modern and beautiful tower in the whole of eastern and central Africa
IMG_4847.jpg

IMG_4857.jpg
 
And this is true nani wakumwambia ukweli mwigulu au nape au makamba?? Watu wamegeuka kua machawa na kazi ya chawa ni kusifia tu hata kama wanona tunaelelekea kwenye moto wao kusifia tu

Nchi haieleweki kabisaa na ukweli utasemwa kama kuna mazuri yatasemwa pia lakini kwa sasa nchi inayumba sana na huu ndio ukweli leo mtu anafunga kituo cha mafuta kisa anasubiri bei ipande alaf tuko hapa tunakenua meno sijui uchawa sijui nn

Alaf mwengine anaomba world bank 500m usd kwa ajili ya ku cover pengo la usd nchini serious??? Alaf ndio waziri wa fedha alaf tuko hapa tunakenua meno kabisaa eti tukae kusifia ??
Hela zote zile za mikopo wamepeleka wapi? Yaani hata $500 ni za kuomba kabla ya November??

Sio project kubwa yeyote mpya ikifanyika hapa.
 
And this is true nani wakumwambia ukweli mwigulu au nape au makamba?? Watu wamegeuka kua machawa na kazi ya chawa ni kusifia tu hata kama wanona tunaelelekea kwenye moto wao kusifia tu

Nchi haieleweki kabisaa na ukweli utasemwa kama kuna mazuri yatasemwa pia lakini kwa sasa nchi inayumba sana na huu ndio ukweli leo mtu anafunga kituo cha mafuta kisa anasubiri bei ipande alaf tuko hapa tunakenua meno sijui uchawa sijui nn

Alaf mwengine anaomba world bank 500m usd kwa ajili ya ku cover pengo la usd nchini serious??? Alaf ndio waziri wa fedha alaf tuko hapa tunakenua meno kabisaa eti tukae kusifia ??
Mzee baba upo
 
Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza😂

Investor kajitahidi kuweka world class infrastructure ( Expressway) Pia kuna developer kajitahidi kaweka Jengo zuri hapo kulia. Ila mwenye wajibu wa kusogeza miundombinu sahihi kuendana na kasi ya wawekezaji kakaza fuvu kama wakundustan wenzake kaacha vumbi na kusababisha gharama za ziada kwa mwekezaji wa Jengo hapo. (Usafi kutoa vumbi) Yaani vumbi kama kijijini

View attachment 2741744


Pia kuna picha moja huwa tulikua tunaona vumbi karibu na hiki kijengo chao, Kumbe wamewekewa pavement , lakini walivyo wachafu pamerudi kama hakuna pavement na vumbi linarudi kwa kasi kama Taliban Afghanistan 😂

View attachment 2741745
Hii tunaita Self projection
 
Back
Top Bottom