Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Two illiterate Kenyans - so obsessed with Tanzania - wanadiscuss kuhusu Tanzania badala ya kujadili Ugali. ๐Ÿ˜‚

Kenya ni nchi ya wajinga wasio na priorities, wajinga wanaopenda maendeleo na urembo wa cosmetics.
Hakuna utajiri zaidi ya chakula.๐Ÿ˜‚

LDC resident zima hio bangi.
 
Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza๐Ÿ˜‚

Investor kajitahidi kuweka world class infrastructure ( Expressway) Pia kuna developer kajitahidi kaweka Jengo zuri hapo kulia. Ila mwenye wajibu wa kusogeza miundombinu sahihi kuendana na kasi ya wawekezaji kakaza fuvu kama wakundustan wenzake kaacha vumbi na kusababisha gharama za ziada kwa mwekezaji wa Jengo hapo. (Usafi kutoa vumbi) Yaani vumbi kama kijijini

View attachment 2741744


Pia kuna picha moja huwa tulikua tunaona vumbi karibu na hiki kijengo chao, Kumbe wamewekewa pavement , lakini walivyo wachafu pamerudi kama hakuna pavement na vumbi linarudi kwa kasi kama Taliban Afghanistan ๐Ÿ˜‚

View attachment 2741745

For your information, barabara iliyo chini ya expressway, iko under construction saa hii.
Iliharibiwa sana na ujenzi wa expressway.
 
Angalieni hali halisi Chini ya Picha ya Kwanza๐Ÿ˜‚

Investor kajitahidi kuweka world class infrastructure ( Expressway) Pia kuna developer kajitahidi kaweka Jengo zuri hapo kulia. Ila mwenye wajibu wa kusogeza miundombinu sahihi kuendana na kasi ya wawekezaji kakaza fuvu kama wakundustan wenzake kaacha vumbi na kusababisha gharama za ziada kwa mwekezaji wa Jengo hapo. (Usafi kutoa vumbi) Yaani vumbi kama kijijini

View attachment 2741744


Pia kuna picha moja huwa tulikua tunaona vumbi karibu na hiki kijengo chao, Kumbe wamewekewa pavement , lakini walivyo wachafu pamerudi kama hakuna pavement na vumbi linarudi kwa kasi kama Taliban Afghanistan ๐Ÿ˜‚

View attachment 2741745
Jamaa wachafu sana ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Yafaa iwe dhambi mtu yeyote kutoka Dar es Salaam kuongelea vumbi. Hilo jii lenu lote ni vumbi ukitoa sehemu ndogo za CBD. ๐Ÿคฃ
Tembea uone kijana, usijiongopee kwa kukaa nyuma ya keyboard, sisi tushatoka huko, ukiona tunajenga classic infrastructures juwa kwamba tunazingatia ubora, uliza wakenya wenzio waliotembelea Dar recently, usijifiche Kibera ukadhani tuko sawa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
For your information, barabara iliyo chini ya expressway, iko under construction saa hii.
Iliharibiwa sana na ujenzi wa expressway.
Leta picha wacha maneno, hiyo picha tumekuwa tukiiweka miaka miwili sasa pako hivyo hvyo. Mnasubiri investor awawekee pavement wajinga nyinyi.
 
Western Bypass Kiambu County
1694050958076.jpg
1694050992102.jpg
1694050983710.jpg
 
Hizo hesabu za vitu vingi zitafika Bongolala mwaka gani?
Kila mwaka gap inapanuka tu.

2010
KE GDP - $45 B
TZ GDP - $32 B
Gap: $13 B

2015

KE GDP - $70
TZ GDP - $47
Gap : $23 B

2020

KE GDP - $100
TZ GDP - $62
Gap: $38 B

2021

KE GDP - $110
TZ GDP - $67
Gap: $43 B
Gap ipi unazungumzia ya kwenye karatasi au?
 
Back
Top Bottom