Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This local Real Estate company is delivering projects at an alarming rate.
These are projects they have completed in the last 2 years.
Royal-Suburbs.png
TSAVO-Skywalk.png
TSAVO-Sunset.jpg
Coral-bells.png

Now doing a 21 floor tower!!
Premier-render-768x543.jpg
 

Nilitegemea hili suala alilete ChoiceVariable lakini nikaona kimya nilimwambia jana sio kila kitu ni kupayuka kuna mambo hayako sawa kabisa na kama viatu ni vikubwa ieleweke kua viatu ni vikubwa sio tunakaa kusfiana sijui machawa sijui kina nani yani vurugu na mafuta ya nchi hii ukifatilia over 50% ya bei hio ni kodi yani mafuta yanakodi zaidi ya 22 mpaka sijui REA, REA inafanya nn kwenye kodi ya mafuta??

Nimeulizia mafuta tunduma ni 3380 nchi inakwenda wapi hii???

Jana wafanya biashara wa mafuta wamegoma kuuza mafuta mpaka mafuta yapande bei, serekali imekaa kimya na hatuelew mpaka sasa anaeongoza serekali ana lipi la kusema


Screenshots_2023-09-06-07-54-51.png
 
Nilitegemea hili suala alilete ChoiceVariable lakini nikaona kimya nilimwambia jana sio kila kitu ni kupayuka kuna mambo hayako sawa kabisa na kama viatu ni vikubwa ieleweke kua viatu ni vikubwa sio tunakaa kusfiana sijui machawa sijui kina nani yani vurugu na mafuta ya nchi hii ukifatilia over 50% ya bei hio ni kodi yani mafuta yanakodi zaidi ya 22 mpaka sijui REA, REA inafanya nn kwenye kodi ya mafuta??

Nimeulizia mafuta tunduma ni 3380 nchi inakwenda wapi hii???

Jana wafanya biashara wa mafuta wamegoma kuuza mafuta mpaka mafuta yapande bei, serekali imekaa kimya na hatuelew mpaka sasa anaeongoza serekali ana lipi la kusema


View attachment 2740512
Cha ajabu nini mafuta kupanda? Niliyegemea nyie sukuma gang mkachukue vibali Ili mlete mafuta ya bei chee mpigie hela Sasa mnaleta blaa blaa za kijinga.

Wakati juzi kati mna post bei za mafuta za Nchi jirani mlikuwa Ewura imezitoa Kwa Ajili gani?

Huu ndio wakati tuone Dotto Biteko akishusha bei maana mlisema tatizo ni Waziri Makamba 🤣🤣🤣
 
Cha ajabu nini mafuta kupanda? Niliyegemea nyie sukuma gang mkachukue vibali Ili mlete mafuta ya bei chee mpigie hela Sasa mnaleta blaa blaa za kijinga.

Wakati juzi kati mna post bei za mafuta za Nchi jirani mlikuwa Ewura imezitoa Kwa Ajili gani?

Huu ndio wakati tuone Dotto Biteko akishusha bei maana mlisema tatizo ni Waziri Makamba 🤣🤣🤣
Hapa hatuongelei sukuma wala chaga hapa tunaongelea suala la mafuta ndio issue kwenye nchi hii kwa sasa

Kama ni ukabila peleka kenya, hatuko hapa kupanua midomo tuko hapa kuongea facts inapobidi, wala hatuongelei jina la mtu sijui makamba sijui nani?? Hayo sisi hatutaki kuyajua tunaongelea mafuta kwenye nchi hii
 
Nilitegemea hili suala alilete ChoiceVariable lakini nikaona kimya nilimwambia jana sio kila kitu ni kupayuka kuna mambo hayako sawa kabisa na kama viatu ni vikubwa ieleweke kua viatu ni vikubwa sio tunakaa kusfiana sijui machawa sijui kina nani yani vurugu na mafuta ya nchi hii ukifatilia over 50% ya bei hio ni kodi yani mafuta yanakodi zaidi ya 22 mpaka sijui REA, REA inafanya nn kwenye kodi ya mafuta??

Nimeulizia mafuta tunduma ni 3380 nchi inakwenda wapi hii???

Jana wafanya biashara wa mafuta wamegoma kuuza mafuta mpaka mafuta yapande bei, serekali imekaa kimya na hatuelew mpaka sasa anaeongoza serekali ana lipi la kusema


View attachment 2740512
Baada ya wafanyabiashara kupata tetesi za bei ya mafuta kupanda wakaanza kuficha mafuta ili bei ikipanda wapate faida maradufu, mtu amuambie huyu mama ukiongoza nchi za Africa kipole utavuna mabua. 😂😂😂
 
Hapa hatuongelei sukuma wala chaga hapa tunaongelea suala la mafuta ndio issue kwenye nchi hii kwa sasa

Kama ni ukabila peleka kenya, hatuko hapa kupanua midomo tuko hapa kuongea facts inapobidi, wala hatuongelei jina la mtu sijui makamba sijui nani?? Hayo sisi hatutaki kuyajua tunaongelea mafuta kwenye nchi hii
Hakuna namna bei ya mafuta imepanda Duniani lazima na kwetu ipande.

Ikipanda zaidi kama mwaka Jana mwanzoni Serikali itaweka ruzuku kama ilivyufanya.

Mwisho

Suluhisho la mda mrefu ni kutumia gas na umeme

Pia kuwa na storage kubwa walau ya kutumia hata miezi 6 Ili bei ikipanda tuwauzie kampuni mafuta hayo

Hayo yote yanahitaji mipango na mapesa kama yote
 
Hakuna namna bei ya mafuta imepanda Duniani lazima na kwetu ipande.

Ikipanda zaidi kama mwaka Jana mwanzoni Serikali itaweka ruzuku kama ilivyufanya.

Mwisho

Suluhisho la mda mrefu ni kutumia gas na umeme

Pia kuwa na storage kubwa walau ya kutumia hata miezi 6 Ili bei ikipanda tuwauzie kampuni mafuta hayo

Hayo yote yanahitaji mipango na mapesa kama yote
Issue sio kupanda tu issue ni kodi zaidi 22 kwenye mafuta ni za nn, REA kodi inafanya nn kwenye mafuta kuna kodi nyingi sana kwenye mafuta za nn ikiwa over 50% ya bei hio inaenda kwenye kodi, mwananchi anasaidiwaje ??? Na mafuta ndio kila kitu kwneye nchi hii

Ndio maana hua nakwambia kuna wakat tuongee facts vitu vingine vinaumiza sio kukaa kushangilia ovyo ovyo tu
 
Baada ya wafanyabiashara kupata tetesi za bei ya mafuta kupanda wakaanza kuficha mafuta ili bei ikipanda wapate faida maradufu, mtu amuambie huyu mama ukiongoza nchi za Africa kipole utavuna mabua. 😂😂😂
Yani inaskitisha sana bro alaf kila kitu tushangilie daaaah labda geza ulole anaeza fikisha ujumbe
 
Issue sio kupanda tu issue ni kodi zaidi 22 kwenye mafuta ni za nn, REA kodi inafanya nn kwenye mafuta kuna kodi nyingi sana kwenye mafuta za nn ikiwa over 50% ya bei hio inaenda kwenye kodi, mwananchi anasaidiwaje ??? Na mafuta ndio kila kitu kwneye nchi hii

Ndio maana hua nakwambia kuna wakat tuongee facts vitu vingine vinaumiza sio kukaa kushangilia ovyo ovyo tu
Kodi haziwezi kuondolewa Kwa Sasa maana Serikali inapata 3T out of 8T za manunuzi ya mafuta.

Hadi hapo funding gap ya kuziba hizo 3T itakapopatijana mainly ni za reli,mfuko wa Maji,Bandari,Rea na Barabara.Sasa ukisema REA inafanya nini sijui tujibuje wakati Kuna miradi ya REA inaendelea.

Kodi zinachangia 40% ya bei ya mafuta Kwa Lita Moja.

Mwisho sio Tanzania tuu ambayo inategemea Kodi kwenye mafuta Kuna Nchi nyingi sana ikiwemo South Africa Hadi Kenya.
 
Kodi haziwezi kuondolewa Kwa Sasa maana Serikali inapata 3T out of 8T za manunuzi ya mafuta.

Hadi hapo funding gap ya kuziba hizo 3T itakapopatijana mainly ni za reli,mfuko wa Maji,Bandari,Rea na Barabara.Sasa ukisema REA inafanya nini sijui tujibuje wakati Kuna miradi ya REA inaendelea.

Kodi zinachangia 40% ya bei ya mafuta Kwa Lita Moja.

Mwisho sio Tanzania tuu ambayo inategemea Kodi kwenye mafuta Kuna Nchi nyingi sana ikiwemo South Africa Hadi Kenya.
Mikopo ya REA kazi yake ni nn??? Kila wakat tunaona mikopo kwenye kila phase ya REA tuambie ww mdogo wake mwigulu nchemba kua zinafanya kazi gani??

Na uniambie hesabu ya 3T kwenye mafuta umeipata vp?? Kodi za mafuta nchi hii ziko zaidi ya 22 na zinachangia over 50% ya bei ya mafuta sasa nataka utueleze mikopo ya REA inakwenda wapi??? Na kodi za REA kwenye mafuta zinakwenda wapi???
 
Back
Top Bottom