Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu mwambieni Khaligraph,yule bwana Omollo asirudie tena kutest mitambo dada tu kamtia K.O,yuko analialia tu Instagram huko hajui afanye nini😂

View: https://youtu.be/OVROAgR0v5c?si=__a497PDvD63rDiK
Mama Omollo_ Rosa Ree.

Ila Khaligaph amewachangamsha sana nyie. Yani sahii kila ,mtandao Tz ni Khaligaph. Mimi huona Wabongo wengi wakiongea uchafu kuhusu Kenya yet hakuna mwenye anashughulika kureply, Hapo kwenu mkiskia tu chochote kimesemwa na Mkenya kuhusu Bongo nchi yote hiyo ndio story. 🤣 🤣
 
I think she did a research before coming to him but it's all good this is hip hop we missed in the industry! Check out the video also is lit 🔥🔥🔥 though we respect Papa Jones ila tumeamua kuzika huku huku Bongo 😂😂😂 I'm joking.

View: https://youtu.be/ATupjjLGeeU?si=hwRtjLKuybdW4sYa

She gave a big shout out to her A town.. I knew she wasn’t from Dar… Straight outta Arusha …. Very influenced by Kenya hip hop…..no wonder she knows Sheng..Every Bongo person I meet from Arusha is very different from Dar people… sorry to say even their English is fluent…must be the border..😁😁😁
 
She gave a big shout out to her A town.. I knew she wasn’t from Dar… Straight outta Arusha …. Very influenced by Kenya hip hop…..no wonder she knows Sheng..Every Bongo person I meet from Arusha is very different from Dar people… sorry to say even their English is fluent…must be the border..😁😁😁
But should never forget that A-Town is TZ too, Don't F* with us bro! We own everything 😃😂.
 
Ila Khaligaph amewachangamsha sana nyie. Yani sahii kila ,mtandao Tz ni Khaligaph. Mimi huona Wabongo wengi wakiongea uchafu kuhusu Kenya yet hakuna mwenye anashughulika kureply, Hapo kwenu mkiskia tu chochote kimesemwa na Mkenya kuhusu Bongo nchi yote hiyo ndio story. 🤣 🤣
Kwa taarifa tu Wakenya wengi wamekuwa attention sana na diss ya Rosa Ree kuliko hata Watz,tatizo mlijiaminisha Khali ni untouchable sasa amepigwa na mama!then she came with your style to knock him down na taulo ameshatupa kwa ring!Na huyo ndo baba yenyu!😂😂😂.Rosa amexpand territory yake I mean the fan base especially kwa Kenya wengi wamemuelewa tu sana!but its all good bro ndo Hip hop inavyotaka hakuna kucatch mafeelings.
 
Kwa taarifa tu Wakenya wengi wamekuwa attention sana na diss ya Rosa Ree kuliko hata Watz,tatizo mlijiaminisha Khali ni untouchable sasa amepigwa na mama!then she came with your style to knock him down na taulo ameshatupa kwa ring!Na huyo ndo baba yenyu!😂😂😂.Rosa amexpand territory yake I mean the fan base especially kwa Kenya wengi wamemuelewa tu sana!but its all good bro ndo Hip hop inavyotaka hakuna kucatch mafeelings.
so wanata arusha ihamie kenya au???? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ila kila mtu neutral anasema Nairobi is miles away kushinda dar. Hii yenu ni blind patriotism
Wageni sio wajinga mwambie.., hizi kelele zao na machungu wapeleke kwa choo., 🔥 🔥 😂 😂
 
Kwa taarifa tu Wakenya wengi wamekuwa attention sana na diss ya Rosa Ree kuliko hata Watz,tatizo mlijiaminisha Khali ni untouchable sasa amepigwa na mama!then she came with your style to knock him down na taulo ameshatupa kwa ring!Na huyo ndo baba yenyu!😂😂😂.Rosa amexpand territory yake I mean the fan base especially kwa Kenya wengi wamemuelewa tu sana!but its all good bro ndo Hip hop inavyotaka hakuna kucatch mafeelings.
A few comments on a song she kept posting and tagging Khaligraph sii attention bro. Ila huko Khaligraph anaongelewa kila mahali, wasanii wametunga rap kibao juu ya statement yake tu. Hadi wengine wamemkujia na hasira sijui kama nini. Kawaida yenu huwa watu emotional sana. Nakumbuka kuna siku Kenya Airways ilijadiliwa bungeni kisa imeitwa Kilimanjaro. Kuna siku pia Jaguar kwa siasa zake akaongelea Wachagga wa Gikombe, story iliingia hadi parliament. Nisimention siku Rosemary Odinga aliquote Olduvai Gorge - hadi Rais wenu akamtaja akifungua Kigamboni bridge. Yani Mkenya yeyote tu anaweza kasirisha Bongo nzima akitaka kwa kupost tu kitu pale twitter. Mko weak sana. 🤣
 
Kuna sehemu yoyote Dar unaweza linganisha na kibera?

Hiyo mtu kufika nairobi na kukaa kwenye conference hall moja na kurudi airport ndio atasema amefanya exploration ya mjini na viunga yake?
A very stupid reasoning., 😂😂😂😂 wale sio tu wageni wa conference idiot, wao ni watu wa kutembea tembea na kukagua services, amenities na infrastructure, wamechambua kila kona ya Dar, unajikosesha ufahamu tu wazi wazi, mko nyuma sana, hii kiswahili yenu kuleni wenyewe haiwasaidii kwa lolote😂😂😂😂😂😂😂, ni ujinga, ukosefu wa maarifa, na kutokujua kwingi ndio mtavuja humu mkitumia hiki Kiswahili chenu mufti😂😂😂😂😂😂😂😂
 
A few comments on a song she kept posting and tagging Khaligraph sii attention bro. Ila huko Khaligraph anaongelewa kila mahali, wasanii wametunga rap kibao juu ya statement yake tu. Hadi wengine wamemkujia na hasira sijui kama nini. Kawaida yenu huwa watu emotional sana. Nakumbuka kuna siku Kenya Airways ilijadiliwa bungeni kisa imeitwa Kilimanjaro. Kuna siku pia Jaguar kwa siasa zake akaongelea Wachagga wa Gikombe, story iliingia hadi parliament. Nisimention siku Rosemary Odinga aliquote Olduvai Gorge - hadi Rais wenu akamtaja akifungua Kigamboni bridge. Yani Mkenya yeyote tu anaweza kasirisha Bongo nzima akitaka kwa kupost tu kitu pale twitter. Mko weak sana. 🤣
Alafu bado ni waoga waoga, ila kwa mdomo hauwawezi.., mtanzania anaweza kukukariria bingu ilhali yeye mwenyewe ni jehanamu, domo domo, vitendo na facts zero 😂😂😂😂😂😂😂
 
Naomba kuhifadhi hii picha kwa matumizi ya baadaye., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1693207685623.png
 
Back
Top Bottom