Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Fungua hii link na ujitie Kofi.Leta hilo katazo kua magari hayaruhusiwi lamu 🤣🤣🤣 kwan ukisema kuna umaskini uliokithiri unapata tetekwanga au?
Fungua hii link na ujitie Kofi.Leta hilo katazo kua magari hayaruhusiwi lamu 🤣🤣🤣 kwan ukisema kuna umaskini uliokithiri unapata tetekwanga au?
Kazi ni kufuatilia kenya na kufumbia macho matatizo yaoWakiwa JF wanafatilia Kenya kumbe kwao ndo muozoView attachment 2730246
Aloo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi ni kufuatilia kenya na kufumbia macho matatizo yaoView attachment 2730248
Ila hawa jamaa wamemganda mother ni hatari.Madam naye is too humble to this men😀😀Mkutano wa BRICS pia nako kalienda, zero presidential etiquette 🤣🤣🤣View attachment 2730060View attachment 2730061
Waarabu wamepata fursa wacha wautumie.Ila hawa jamaa wamemganda mother ni hatari.Madam naye is too humble to this men😀😀
Wacha kuokota mapicha ya kale, picha zingine unapost sio masaki eti ili ujifariji 🤣🤣. Masaki ni zaidi ya Karen by far.. 👇Masaki, richest neighborhood in dar haina lami, water front wala marina ya kupark boati. View attachment 2730277View attachment 2730278View attachment 2730279
Haitoboi kwa Nyali ya MombasaWacha kuokota mapicha ya kale, picha zingine unapost sio masaki eti ili ujifariji 🤣🤣. Masaki ni zaidi ya Karen by far.. 👇View attachment 2730353View attachment 2730354View attachment 2730366View attachment 2730367View attachment 2730368View attachment 2730369View attachment 2730370
Chukua hiyo nyali+Caren= masakiHaitoboi kwa Nyali ya Mombasa
Katika hio picha yako nimeona gorofa la bedsitters ndani 🤣🤣🤣Chukua hiyo nyali+Caren= masaki
Kila mtu nani, mama ngina au ??🤣🤣🤣🤣Ila kila mtu neutral anasema Nairobi is miles away kushinda dar. Hii yenu ni blind patriotism
Sasa kuna shida gani na hii comment au akili huna 😅😅😅😅😅😅 au ushakosa hoja sasaAkiwa Jf anamsifu suluhu huko twitter hamtaki🤣🤣🤣View attachment 2730238
Si bora sisi kuliko nyinyi nchi zima imeingia gizani mpaka ikulu ya nchi 😅😅😅😅😅Kazi ni kufuatilia kenya na kufumbia macho matatizo yaoView attachment 2730248
Hawa watu saa zingine wakiongea mii hushangaa kama wanatumia akili ama pua kufikiria. 🤣Eti Nairobi wanakaa kwa mahoteli na dar wanaizunguka yote ndo maana manaprefer Nairobi over dar. Ushawahi sikia ujinga kiasi hiki?
Hapo chini wameweka mawe ili kunyanyua kitanda. Then wachini kawekewa godoro kwenye sakafu. Kunyaland ni kuzimu kunakoonekana!😂😂😂😂 Huu utaratibu sijui aliubuni nani? Kama kuku
Haya ni mazoezi ya kuingia mortuary bila shaka 🤣
View attachment 2729239View attachment 2729240
Ww unaumia nn kwani?? Sijawah kuona nchi nzima umeme unazimika mpaka ikulu sijapata kuona 🤣🤣🤣🤣Waarabu wamepata fursa wacha wautumie.