Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu raisi wenu yuko na inferiority complex dhidi ya waarabu Simon
Ww rais wa tanzania anakuhusu nn?? Kwann msipambane na rais wenu ambae nchi inafkia hatua 2023 nchi nzima umeme unakatika mpaka ikulu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Screenshots_2023-08-27-10-46-21.png
 
Ukiona ule uozo ulipo naipori... Halafu ndio umekaririsha kibera ni pazuri kuliko Dar ndio unaweza jiuliza Dar itakuwa katika hali gani!?

Sasa ukikutana na reality ndio hapo jamaa ana geuka mwehu tu kurusha propaganda za hovyo hovyo.

Internet imewaumbua sana Hao kenge wa north.
Ila kila mtu neutral anasema Nairobi is miles away kushinda dar. Hii yenu ni blind patriotism
 
Kuna sehemu yoyote Dar unaweza linganisha na kibera?

Hiyo mtu kufika nairobi na kukaa kwenye conference hall moja na kurudi airport ndio atasema amefanya exploration ya mjini na viunga yake?
Kwaivo dar sehemu inayoweza kulinganishwa nayo Nairobi ni kibera?
 
Kuna sehemu yoyote Dar unaweza linganisha na kibera?

Hiyo mtu kufika nairobi na kukaa kwenye conference hall moja na kurudi airport ndio atasema amefanya exploration ya mjini na viunga yake?
Hivi hapo Dar hakuna conference hall moja yenye mtu anaweza kaa na akarudi airport alafu aseme Dar ni pazuri kuliko Nairobi? It's even more interesting kwa sababu hata hizo conference halls na Airports mnasema mnazo nzuri kuliko Nairobi. 🤣
 
Hivi hapo Dar hakuna conference hall moja yenye mtu anaweza kaa na akarudi airport alafu aseme Dar ni pazuri kuliko Nairobi? It's even more interesting kwa sababu hata hizo conference halls na Airports mnasema mnazo nzuri kuliko Nairobi.
Eti Nairobi wanakaa kwa mahoteli na dar wanaizunguka yote ndo maana manaprefer Nairobi over dar . Ushawahi sikia ujinga kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom