ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Unaonekana kua na stress za maisha manake hio post ni harmless.Wakenya ni watu desperate na dhaifu sana duniani. Ni Watumwa wa nafsi zao!! Ni aibu sana taifa la namna hii, kila kitu kizuri linaiba na kujitangaza bila aibu, ni tabia ya kimalaya sana, demu mmoja hivi cha wote anayeshobokea statuses na yuko tayari kutoa chochote akipate😏🤨
View attachment 2730669
Halafu mwambieni Khaligraph,yule bwana Omollo asirudie tena kutest mitambo dada tu kamtia K.O,yuko analialia tu Instagram huko hajui afanye nini😂
View: https://youtu.be/OVROAgR0v5c?si=__a497PDvD63rDiK
Mama Omollo_ Rosa Ree.
I think she did a research before coming to him but it's all good this is hip hop we missed in the industry! Check out the video also is lit 🔥🔥🔥 though we respect Papa Jones ila tumeamua kuzika huku huku Bongo 😂😂😂 I'm joking.Talented but I hear lots of Kenyan sheng….. we appreciate…. nice try…🤣🤣🤣…
Kwahiyo Bwana Choko, sorry Coco Tupac alikuja Kenya miaka ya 80 akiwa star na kupiga picha na Manganya?😅😅Unaonekana kua na stress za maisha manake hio post ni harmless.
Sio abu dhabi ni mwenge city bus terminal🇹🇿
View: https://youtube.com/shorts/8GpznP_hilw?si=pdYFrfKsGMHXOUpw
View attachment 2730690View attachment 2730691View attachment 2730692View attachment 2730693
Hawa watu wa south mchezo wako zero. Hadi games za high school vile wamerateAlways representing
View attachment 2730978
Wanabomoa tena watu walipiga tu pesa kidogo sasa wanabomoa ili wengine wapige pesa za kubomoa na wengine wapige pesa za mradi mwengine 😅😅😅😅😅😅Kuna ule uchafu walijenga NMS pale taoo wanauita ultra modern city bus stage huwa nikiangalia nacheka sana. Sasa hii ni 10km from the city centre, na ziko za kutosha za aina hii. Yaani kwenye bus stages tunawakalisha kuanzia up country buses, city buses na BRT bus terminals. Hapa hakuna mjadala.
Hawa wenzetu hadi up country buses unaomba msaada kwenye tuta ukitaka kushuka, hakuna stages, na zilizopo ni vituko😅😅
Hapa nyinyi mulikua wapi??😅😅😅Hawa watu wa south mchezo wako zero. Hadi games za high school vile wamerateView attachment 2731020 high football Yao 😅😅😅