Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama uko tayar naomba list all projects zinazoendelea kenya nzima na mm nikuletee za dodoma tu alone alaf ukitoka salama
kwenye hili nafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣

Note : all on going projects

Aliekwambia nani inatoa ushuru aina moja ma dar wakat system zetu ni tofaut huku kwetu hakuna county gvt 😅😅😅 na muundo nitofaut kabisa kwetu na kwenu

Mkoa wa dar hauna parliament kwenu kila county kuna parliament kwa ajili ya mafisadi kula pesa za bure

Mbona unataka za Kenya nzima?
Za Eastleigh pekee zimetosha.

I propose Eastleigh vs Dodoma+Dar+Mwanza+Arusha
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tarmac road iko wapi hapo ile 50km iko wapi?? Zile nyumba 3000 ziko wapi hata 10 sizioni wachilia mbali 3000 hzo kampuni 75 zinakaa wapi juu ya hewa au??

Nilikwambia hapa sio nairaland sisi ni majirani zenu mukijamba harufu tunaskia hakuna kitu mutadanganya hasa dunia hii iliojaa wajuaji hata hao wa nigeria munaowadanganya sasa hvi wanawacheka kwa ufala mlionao 😅😅😅😅😅

Kila kitu ulichopost hapa kinaonekana 👇👇zaidi ya miaka 15 hamuna chakuonesha zaidi ya sifa za uongo View attachment 2725881View attachment 2725882
Tatu City inakaa Geza Ulole Kigamboni, bora hata geza kumejengwa residencial hakuna rami tu……😅😅
 
Kama uko tayar naomba list all projects zinazoendelea kenya nzima na mm nikuletee za dodoma tu alone alaf ukitoka salama
kwenye hili nafunga acc jamii forum 🤣🤣🤣

Note : all on going projects

Aliekwambia nani inatoa ushuru aina moja ma dar wakat system zetu ni tofaut huku kwetu hakuna county gvt 😅😅😅 na muundo nitofaut kabisa kwetu na kwenu

Mkoa wa dar hauna parliament kwenu kila county kuna parliament kwa ajili ya mafisadi kula pesa za bure

Nairobi was collecting revenue long before it became a county government.
Kazi iliyokuwa ikifanywa na Nairobi City Council before 2010 ndio inafanywa na County government.
 
Kisha ikamilike baada ya miaka mingapi?.., tatizo Tanzania sio kuanzisha miradi, tatizo ni kukamilisha.., mtakua mmezeeka ama wengine hampo duniani kwa vile mambo yanavyo enda.., poleni. #SGR.., 2023 mwaka unaisha SGR bado!!!..,,
We kweli ni kocho,tuna phases 6 na za SGR na zote zipo under construction, almost 2.5k km ..the longest SGR in Africa, tulianza kujenga katikati ya mwezi wa 7/2017, unategemeaje tumalize leo.?😂😂 . mbona kama umezidiwa.? Haya majoka hukuyaona au ndio mana ulikimbia.? 👇
20230724_210430.jpg
Screenshots_2023-07-24-20-46-45.png
770019C3-B126-4228-8EB7-30574E659B43.jpeg
huku mtafika labda miaka 100 ijayo 😂😂😂
 
Kenya is moving away from building glorified sheds and calling them 'modern markets'.
Hio tumeachia Tanzania, Burkina Faso and your peers.

We are building 400 new markets, many currently in the tendering stage.
All of them will come equipped with large cold storage facilities, for perishables like meat, fruits and vegetables.
That's a 21st century market.
Wishful thinking sio .? 😂😂😂..
 
Nairobi was collecting revenue long before it became a county government.
Kazi iliyokuwa ikifanywa na Nairobi City Council before 2010 ndio inafanywa na County government.
ukithibitisha kwa vitendo nitag nifunge acc🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pato linaloingizea na local gvt na sio central gvt yani kwa lugha nyingine ni pesa inayokusanywa na county gvt kwenu japokua kwenu sheria zenu za county zinakua tofaut 😅😅😅😅

Kwenu county gvt inanguvu sana kwenye county yake na inapewa nafas kubwa kwenye kukusanya mapato huku kwetu inakua tofaut local gvt za kwetu hata kwenye ukusanyaji sio kila kitu wao wanafanya kuna makusanyo ya central gvt pia

Kama hapo hujaelewa katafute gongo unywe🤣
Unajaribu kupindua pindua lakini wapi..., sio vile, soma gazeti lenu pole pole bila haraka brathe, ukweli mchungu 😂 😂 😂 😂 .,
 
Value? Revenue?.., Kiambu county yenye Tatu city iko ndani has revenue zaidi ya city yeyote Tanzania nje ya Dar.., tafuta lingine kaka.., kisha Tatu city iko na economic value kuliko hiyo Dodoma government city ndani ya Dodoma.., so tunaeza kulinganisha Dodoma vs Kiambu county.., na Tatu City vs Dom. govt City.., boss hapa hamna kitu.., umeona ukweli sasa umegeuza gear 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Mjomba usichanganye habari mzee 🤣🤣🤣 Dom government city haija dizainiwa Ili ijengwe viwanda kaka .. gvt city ilijengwa kwaajili ya serikali ifanye kàzi humo kwahyo kitu utaona gvt city ni majengo marefu mazuri, barabara Safi za kuwaka waka, hotels, kumbi za mikutano n.k . Halafu kuhusu uchumi Usitaje eti kiambu county kwenye sentence moja na DOM City mzee, chukua counties zote zinazozinguka NAIROBI na still hazitawahi kuwezana na DODOMA City.
 
Nairobi was collecting revenue long before it became a county government.
Kazi iliyokuwa ikifanywa na Nairobi City Council before 2010 ndio inafanywa na County government.
Umejibu vizuri. vilaza wakipatikana wataandika mapambio kujikomboa lakini wapi..,
 
Mjomba usichanganye habari mzee 🤣🤣🤣 Dom government city haija dizainiwa Ili ijengwe viwanda kaka .. gvt city ilijengwa kwaajili ya serikali ifanye kàzi humo kwahyo kitu utaona gvt city ni majengo marefu mazuri, barabara Safi za kuwaka waka, hotels, kumbi za mikutano n.k . Halafu kuhusu uchumi Usitaje eti kiambu county kwenye sentence moja na DOM City mzee, chukua counties zote zinazozinguka NAIROBI na still hazitawahi kuwezana na DODOMA City.
analazmisha sukari iwe chumvi mvumilie ndio kawaida yao hasa wanapoona wamebanwa kwenye hoja 🤣 🤣
 
Ni invisible vipi? Huko nyuma umewekewa hadi video ama unataka tukupimie 50km of tarmac kama bongolala mwenzako ichoboy anavyotak?? Tatu city is a 5000 acres property na ina zones kama industrial zones, residential zones, commercial zones etc na sasa hivi kila mahali papo settled au contstructions are going on kuna lami

View attachment 2725870View attachment 2725872View attachment 2725873View attachment 2725874
🤣🤣🤣🤣 Mjomba wacha matumizi mabaya ya bando, hizi barabara umepost hazifiki hata 5 km .. nikurahisishie.?
 
Unajaribu kupindua pindua lakini wapi..., sio vile, soma gazeti lenu pole pole bila haraka brathe, ukweli mchungu 😂 😂 😂 😂 .,
Umejibu vizuri. vilaza wakipatikana wataandika mapambio kujikomboa lakini wapi..,
ni vichekesho vya firauni maajabu kwa musa 😆😆 akijibu kwa hoja unitag au msaidie hoja labda munaweza kuifanya tanzania itumie system ya counties
 
Usitaje eti kiambu county kwenye sentence moja na DOM City mzee, chukua counties zote zinazozinguka NAIROBI na still hazitawahi kuwezana na DODOMA City.
Ujinga ukichanganywa na upumbavu na akili duni haya👆 ndio matokeo, hizi👆 fikra duh😂😂😂😂😂.., soma ulicho andika 👆 👆 .., uendazimu huu, taifa fukara watu maisha ni uswazi kisha kujenga apartments type building eti office blocks na barabara zenye mataa ndio nini cha ajabu hapo? .., boss tafuta elimu.., 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
ni vichekesho vya firauni maajabu kwa musa 😆😆 akijibu kwa hoja unitag au msaidie hoja labda munaweza kuifanya tanzania itumie system ya counties
Region!, tafuta lingine la kudanganya makapuku wenzio😂😂😂😂😂😂😂
1692783026186.png
 
Back
Top Bottom