Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Kisha ikamilike baada ya miaka mingapi?.., tatizo Tanzania sio kuanzisha miradi, tatizo ni kukamilisha.., mtakua mmezeeka ama wengine hampo duniani kwa vile mambo yanavyo enda.., poleni. #SGR.., 2023 mwaka unaisha SGR bado!!!..,,