Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio sura ya Dar is slum kaka.., umejisahau 👇 👇 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
View attachment 2725571

Swali moja tu.., how much revenue is it generating kwa sasa hivi? ndoto za alinacha usiniletee humu.., how many investors and indsutries have invested? unatega neti samaki bado haujashika unabweka, unaweza kukosa kushika samaki(wawekezaji) ikue white elephant, Tatu imepita mtihani tayari.., boss find something else to yap about, not economics.
We jamaa upo sawa kweli huko upstairs.? 😂😂😂. DODOMA government city sio kwaajili ya ya investments za viwanda kichaa wewe.. mbona hata jina linajieleza .. DODOMA government city ipo ndani ya DODOMA ya DODOMA City ambayo ndio huko kuna viwanda, kampuni tofauti tofauti, airports, bus terminus and everything.. government city was designed kwaajili ya serikali kuhamia hapo.. so ni classy City ya aina yake, usitake kulazimisha hati kwanini hakuna viwanda..😂😂😂 Ili uingize kwenye sentence moja na takataka inaitwa tatu City.. wacha ukichaa mjomba. Majengo yatakayoonekana humo kando na ministries ni balozi, kumbi za mikutano, hotels, gardens n.k ..usitegemee kuona mabati ya blue humo mjomba 🤣🤣🤣.. usifosi vitu kaka
 
We jamaa upo sawa kweli huko upstairs.? 😂😂😂. DODOMA government city sio kwaajili ya ya investments za viwanda kichaa wewe.. mbona hata jina linajieleza .. DODOMA government city ipo ndani ya DODOMA ya DODOMA City ambayo ndio huko kuna viwanda, kampuni tofauti tofauti, airports, bus terminus and everything.. government city was designed kwaajili ya serikali kuhamia hapo.. so ni classy City ya aina yake, usitake kulazimisha hati kwanini hakuna viwanda..😂😂😂 Ili uingize kwenye sentence moja na takataka inaitwa tatu City.. wacha ukichaa mjomba. Majengo yatakayoonekana humo kando na ministries ni balozi, kumbi za mikutano, hotels, gardens n.k ..usitegemee kuona mabati ya blue humo mjomba 🤣🤣🤣.. usifosi vitu kaka
Value? Revenue?.., Kiambu county yenye Tatu city iko ndani has revenue zaidi ya city yeyote Tanzania nje ya Dar.., tafuta lingine kaka.., kisha Tatu city iko na economic value kuliko hiyo Dodoma government city ndani ya Dodoma.., so tunaeza kulinganisha Dodoma vs Kiambu county.., na Tatu City vs Dom. govt City.., boss hapa hamna kitu.., umeona ukweli sasa umegeuza gear 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kisha ikamilike baada ya miaka mingapi?.., tatizo Tanzania sio kuanzisha miradi, tatizo ni kukamilisha.., mtakua mmezeeka ama wengine hampo duniani kwa vile mambo yanavyo enda.., poleni. #SGR.., 2023 mwaka unaisha SGR bado!!!..,,
Tanzania Ina pesa acha kabisa,sisi sio Hungry failed state kama Kunyaland.

Miradi yote itakamilika kama kawaida
 
Ndio sura ya Dar is slum kwa upana na urefu kaka.., umejisahau 👇 👇 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆
View attachment 2725571

Swali moja tu.., how much revenue is it generating kwa sasa hivi? ndoto za alinacha usiniletee humu.., how many investors and indsutries have invested? unatega neti samaki bado haujashika unabweka, unaweza kukosa kushika samaki(wawekezaji) ikue white elephant, Tatu imepita mtihani tayari.., boss find something else to yap about, not economics.
Hii picha umeokota wapi ?? 🤣🤣🤣🤣 usinambie umeokota google

Maana nimecheka sana kitu mulichobakiza kwasasa nikuokota picha za google ili kujifurahisha nafsi zenu nakupunguza maumivu 😅😅😅😅
 
Mimi siwezi change ID kamwe, hakuna siku mtu yeyote humu kanibana, ukweli ndio hampendi, mtalia siku kucha kwa visababu uchwara na propaganda, ila google earth iko tu kuwaumbua na data mwafaka kutoka kwa credible sources, hamniambii lolote mimi, na sioni la maana humu kutoka kwenu ila hadithi za vijiweni na ndoto za alinacha na kujidanganya kwa vipicha angles tofauti, ila mko pale pale tu.., taifa halisongii ila ufukara unasonga.., boss jiangalie.., mimi kiboko chenu, nyundo! leta janja janja niumbue 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nani hakujui ww ukikamatwa kende unatoroka mwezi mzima huku alaf unakuja na id nyingine kuchungulia 😅😅😅

Au mpaka tukuumbue siku moja
 
Sama boy 255 yaani Dodoma ndio ya pili kwa Dar upande wa revenue, Tsh89.4B (Kshs.4.4B).., na Kiambu inakaribia ksh.8billion!!(Tshs 160B)..., boss 😂 😂
1692770562188.png
 
We jamaa upo sawa kweli huko upstairs.? 😂😂😂. DODOMA government city sio kwaajili ya ya investments za viwanda kichaa wewe.. mbona hata jina linajieleza .. DODOMA government city ipo ndani ya DODOMA ya DODOMA City ambayo ndio huko kuna viwanda, kampuni tofauti tofauti, airports, bus terminus and everything.. government city was designed kwaajili ya serikali kuhamia hapo.. so ni classy City ya aina yake, usitake kulazimisha hati kwanini hakuna viwanda..😂😂😂 Ili uingize kwenye sentence moja na takataka inaitwa tatu City.. wacha ukichaa mjomba. Majengo yatakayoonekana humo kando na ministries ni balozi, kumbi za mikutano, hotels, gardens n.k ..usitegemee kuona mabati ya blue humo mjomba 🤣🤣🤣.. usifosi vitu kaka
Wavumilie kwa sasa hawana raha na amani walidanganywa miaka 60 kua kenya pekee ndio iko europe na sio africa sasa wanashtuka kuona zimbabwe iko mbele kuliko wao wanaanza kua na hasira na ukiwakuta twitter wanatukana kweli kweli 🤣
 
Hii picha umrokota wapi ?? 🤣🤣🤣🤣 usinambie umeokota google

Maana nimecheka sana kitu mulichobakiza kwasasa nikuokota picha za google ili kujifurahisha nafsi zenu nakupunguza maumivu 😅😅😅😅
Goodle earth itadhibitisha, mimi sio mwehu na sina janja janja kama zenu.., boss utanikoma😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1692770857801.png

1692770930171.png

1692770992674.png
 
Nani hakujui ww ukikamatwa kende unatoroka mwezi mzima huku alaf unakuja na id nyingine kuchungulia 😅😅😅

Au mpaka tukuumbue siku moja
please be my guest..., mimi sio mwehu kama wengi wenu mlivyo
 
Kenya remittances ni zaidi mara mbili ya pesa zenye Tanzania inapata kutokana na utalii kwa mwaka.., a major source of revenue ya TZ.., watafute wenzao bana
Huoni Tanzania wameshindwa na Uganda kwa remittances.
Kenya tunashinda all EAC countries combined plus Ethiopia kwa remittances
 
Back
Top Bottom