Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ potelea mbali kabisa.., πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mzee wa kujifurahisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .. tahira mwenzako analinganisha DODOMA vs tatu city ATI tatu city na enyewe Ina 50km paved roads lakini ni invisible πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Nyie jamaa mmenishinda tabia.. yani how unalinganisha DODOMA na tatu city.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Tumeambiwa kuna 50km tarmac ,3000 houses na 75 companies 🀣🀣🀣🀣🀣

Acha tu wanasiasa wao waendelee kua matajiri milele na milele sio kwa akili hzi πŸ‘‡πŸ‘‡
After 15 yrs now
View attachment 2725358







Ile renders walishangilia before 15 yrs ago πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 2725360View attachment 2725361View attachment 2725362View attachment 2725363
Mwanangu basi inatosha, sio kwa upper cuts hizoβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nina uhakika hakuna mji wowote hapo kenya wenye gorofa zaidi ya 30 massive, shiny ambazo ni mpyaa kabisa tena zinazungukwa na barabara za lami 51km, 22 km dual carriage ways na hakuna hata chochoro moja yenye barabara ya vumbi. Not even NAIROBI. Don YF prove me wrong. Ndio uje ulinganishe na tatu city.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ambayo haijulikani ni industrial area au ni makazi ya watu. Kwa fikra zako fupi unavyodhani kama serikali itaanza kuwekeza makazi ya watu Magufuli city unafkiria yatafananaje ..? Heb toa tongo tongo uone the kinda investments that is going on in DOM gvt city.. mashujaa πŸ‘‡
20230725_153343.jpg
20230725_153355.jpg
Magufuli city ni mji ulioandaliwa kuwa mtukufu bro with massive structures, sio vikampuni viwili vitatu au vijumba visivyo na kichwa wala miguu.. Tegemea kuona majumba ya balozi tofauti tofauti duniani kujengwa hapo. na makazi yenye hadhi za juu sana.. inshort Magufuli city it was designed to be the Washington DC of Tanzania .. Halafu jua kutofatisha .. kuna Magufuli city (gvt city) na kuna DODOMA City, Magufuli city ipo ndani ya DODOMA City ambayo ni kubwa na Iko vizuri economically na Iko na namba kubwa ya middle class than any town in Kenya including mombasa, ukibisha tunaenda ground
 
Hii hiwez onesha lakini mm nakuonesha 🀣
Nye nye nye mombasa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 2725570
Ndio sura ya Dar is slum kwa upana na urefu kaka.., umejisahau πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
1692727622774.png

Nina uhakika hakuna mji wowote hapo kenya wenye gorofa zaidi ya 30 massive, shiny ambazo ni mpyaa kabisa tena zinazungukwa na barabara za lami 51km, 22 km dual carriage ways na hakuna hata chochoro moja yenye barabara ya vumbi. Not even NAIROBI. Don YF prove me wrong. Ndio uje ulinganishe na tatu city.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ambayo haijulikani ni industrial area au ni makazi ya watu. Kwa fikra zako fupi unavyodhani kama serikali itaanza kuwekeza makazi ya watu Magufuli city unafkiria yatafananaje ..? Heb toa tongo tongo uone the kinda investments that is going on in DOM gvt city.. mashujaa πŸ‘‡View attachment 2725743View attachment 2725744Magufuli city ni mji ulioandaliwa kuwa mtukufu bro with massive structures, sio vikampuni viwili vitatu au vijumba visivyo na kichwa wala miguu.. Tegemea kuona majumba ya balozi tofauti tofauti duniani kujengwa hapo. na makazi yenye hadhi za juu sana.. inshort Magufuli city it was designed to be the Washington DC of Tanzania .. Halafu jua kutofatisha .. kuna Magufuli city (gvt city) na kuna DODOMA City, Magufuli city ipo ndani ya DODOMA City ambayo ni kubwa na Iko vizuri economically na Iko na namba kubwa ya middle class than any town in Kenya including mombasa, ukibisha tunaenda ground
Swali moja tu.., how much revenue is it generating kwa sasa hivi? ndoto za alinacha usiniletee humu.., how many investors and indsutries have invested? unatega neti samaki bado haujashika unabweka, unaweza kukosa kushika samaki(wawekezaji) ikue white elephant, Tatu imepita mtihani tayari.., boss find something else to yap about, not economics.
 
Ulinyonga vp na wakat niko hai πŸ˜…πŸ˜… ww sindio yule ukibanwa hapa unakimbiwa mwezi mzima huonekani unakuja na id nyingine

Good thing ni hua hunisumbui kichwa nawajua mpaka mfanano wa chupi zenu
Mimi siwezi change ID kamwe, hakuna siku mtu yeyote humu kanibana, ukweli ndio hampendi, mtalia siku kucha kwa visababu uchwara na propaganda, ila google earth iko tu kuwaumbua na data mwafaka kutoka kwa credible sources, hamniambii lolote mimi, na sioni la maana humu kutoka kwenu ila hadithi za vijiweni na ndoto za alinacha na kujidanganya kwa vipicha angles tofauti, ila mko pale pale tu.., taifa halisongii ila ufukara unasonga.., boss jiangalie.., mimi kiboko chenu, nyundo! leta janja janja niumbue πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Vita vya Ukraine
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ hapa umenimalizaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., uchumi wenu ni hafifu mno..., taifa mnyonge, huo ndio ukweli,
 
Back
Top Bottom