Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ohh Znz🤣🤣🤣
images-8.jpeg
 
Hajui water front ni nini.., hizi vitu ziko Cape Town.., Dar ni beach chafu chafu tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikwambia ukitoboa kwa mwanza nitag nifunge acc na nimekupa mbili tu ziko zaidi ya 20 manyuziii🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dar slum is the only african major coastal city without a marina or water front
Sio sisi tumeona hayo, pia wageni kutoka nchi mbali mbali, na wakifika Kenya wanaona tofauti kubwa kimaisha, kimaendeleo na muonekano,,.., Watanzania wajikubali tu🤣🤣🤣
 
Nilikwambia ukitoboa kwa mwanza nitag nifunge acc na nimekupa mbili tu ziko zaidi ya 20 manyuziii🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanza mwenzake Dar ndio ulie lie humu, lala sasa, ni usiku, bado umepagawa hizi miaka zote humu jf🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwanza mwenzake Dar ndio ulie lie humu, lala sasa, ni usiku, bado umepagawa hizi miaka zote humu jf🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 go rest bro kwa leo dozi inatosha naona imekuzidia dozi
 
🤣🤣🤣🤣🤣 go rest bro kwa leo dozi inatosha naona imekuzidia dozi
Nilikunyonga miaka ya nyuma bado hauja recover. na hautapona kamwe., mimi nimekubana kote kote, huna pakutokea, ni kiswahili na hekaya za abunuasi tu ndizo umebaki nazo, ili mradi tu uonekane nafuu, ulikufa zamani🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom