Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Framce depends on Total for energy security and rights. Hivyo kama nchi wanatetea mambo ya LGBTQ+ lakini ikigusa mahali panapouma wanaufyata kama mbwa koko. Energy ndio kila kitu kwe chumi za kidunia.

On one hand France will condemn Uganda decision on anti LGBTQ+ but on the other hand it will support TOTAL engagement with Ugandan government.

Hakuna watu wanafiki kama wazungu. Hii yote wanafanya kuondoa public pressure nchini kwao lakini underhandedly wanafanya biashara na anti LGBTQ+ countries.
Perfect bro umeongea point muhimu sana amabayo nilimwambia na kuna siku nikamwambia mpaka hizi haki za binaadamu wanatumia kama pazia ya kuficha maovu na laana zao hasa kwa nchi za africa
 
Afrika sisi ni watu wa ajabu sana, sheria tumejiwekea wenye kwamba tuheshimu utawala wa kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wetu kwa njia za kupiga kura, tukakubaliana kwamba tusikubali Wala kuruhusu mapinduzi ya Kijeshi, lakini inapofika wakati wa kusimamia maamuzi yetu wenyewe, tunasema hao wanaosimamia utekelezaji wa maamuzi yetu wenyewe wanashindikizwa na nchi za nje, ila hawa waliovunja makubaliano yetu ndio wenye uzalendo na bara letu, uzalendo kwa kwenda kinyume na Yale tuliyojipangia sisi wenyewe?, kweli?.
Hili jambo linakera Sana na nimezipatia heshima nchi za Nigeria, Benin, Senegal na Ivory coast kwa kusimama na azimio la AU.
Uongozi ubadilishwe kupitia kura ambazo zinalindwa na demokrasia na kusahihishwa na AU
Leo hii mtu anakwambia wauaji wa Wagner ambao saivi wananyonya dhahabu za Burkina Faso ni wakombozi wa afrika.
 
Hebu taja Multinational lolote lile hapa duniani ambalo ni kubwa na linauwezo wa kuzuia vikwazo vya nchi tajiri Kama USA na France.
Hivi unajua multinational companies ndio zinachagua Raisi wa USA and other big economies in the world wananchi wanatumila kama smokescreen tuu kwenye kura.

Ukitaka ushindwe uchaguzi go against them mapema saa 4 asubuhi kura hazitoshi.

Wanachagua viongozi na wanawapa agenda zao za kibiashara wazitekeleze wakiingia madarakani.

Unafikiri USA kuhangaika kuuiaminisha dunia kuwa Saddam ni mtu mbaya mwenye silaha za maanganizi ilikuwa ni mpango wa serikali ya USA? Multinationals wakitaka kitu duniani popote wanachukua tuu iwe kibiashara ama kinguvu.
 
Kwahiyo sio nchi 4 Kama unavyosema wewe, au hizo nchi nne umezitoa wapi?.

Hivi Sasa wapo hatua ya pili, hivi unavyosema, nchi 7 zote za ECOWAS zilizohudhuria Jana zinachangia wanajeshi katika hiyo "standby force", hivi Sasa tayari vifaa vya Kijeshi na wanajeshi kutoka nchi za ECOWAS wanaelekea Nigeria kwa ajili ya kutoa kichapo
NDINDA samahani hii haikuhusu kaka

Hamna shida Boss !
 
France depends on Total for energy security and rights. Hivyo kama nchi wanatetea mambo ya LGBTQ+ lakini ikigusa mahali panapouma wanaufyata kama mbwa koko. Energy ndio kila kitu kwe chumi za kidunia.

On one hand France will condemn Uganda decision on anti LGBTQ+ but on the other hand it will support TOTAL engagement with Ugandan government.

Hakuna watu wanafiki kama wazungu. Hii yote wanafanya kuondoa public pressure nchini kwao lakini underhandedly wanafanya biashara na anti LGBTQ+ countries.
Mkuu, unaweza kutaja mchango wa ToTal Energy kwenye uchumi wa France?. Mali zote za Total Energy duniani kote hazifikii hata 1% ya uchumia wa France, achilia mbali Kodi na mapato mengine yatokayo TOTAL Energy kwenda katika serikali ya France.

Kwa ufupi hilo kampuni kwa uchumi wa France ni sawa na gunia la sukari ndani ya mto Nile, unazungumzia uchumi wa $4Trl mkuu, Wacha kabisa kuzungumzia kampuni lenye Mtaji usiozidi $200B.
 
20230811_130806.jpg
20230811_130801.jpg
 
Hivi unajua multinational companies ndio zinachagua Raisi wa USA and other big economies in the world wananchi wanatumila kama smokescreen tuu kwenye kura.

Ukitaka ushindwe uchaguzi go against them mapema saa 4 asubuhi kura hazitoshi.

Wanachagua viongozi na wanawapa agenda zao za kibiashara wazitekeleze wakiingia madarakani.

Unafikiri USA kuhangaika kuuiaminisha dunia kuwa Saddam ni mtu mbaya mwenye silaha za maanganizi ilikuwa ni mpango wa serikali ya USA? Multinationals wakitaka kitu duniani popote wanachukua tuu iwe kibiashara ama kinguvu.
Mkuu, haya ni mawazo yako hata Kama sio kweli lakini ni lazima tuyaheshimu.
 
Back
Top Bottom