Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Historia ni mwalimu mzuri na inasema warusi hawana historia ya kuinyonya Afrika.
Endelea kuishi kwenye historia.Na wewe Kwa mihemko Yako unadhani utalindwa Bure yaani Wagener wakulinde wewe Bure? Hawajafikia kiwango hicho Cha upumbavu
 
Endelea kuishi kwenye historia.Na wewe Kwa mihemko Yako unadhani utalindwa Bure yaani Wagener wakulinde wewe Bure? Hawajafikia kiwango hicho Cha upumbavu
Ni biashara, wanalipwa kwa kazi yao dili likiisha wanaondoka, sasa niambie hao wafaransa wana dili gani lisiloisha hapo Niger toka 1800's?
 
Total is a multinational company though headquarters yake iko France lakini haiendeshwi au kutishwa na serikali yoyote ile mfano mzuri issue ya Total na EU.

France needs Total more than the other way round.
Ni sawa na kusema "Tanzania needs Bakharesa more than other way round
 
Siku 10 zishapita walizoahidi sasa zinaenda siku 14 hakuna majibu mpaka sasa hvi na kwa taarifa fupi tu hao ecowas wameanza kugeukana wao kwa wao sasa au huna hio taarifa na kwa taarifa rais aliepinduliwa au kwa lugha nyingine kibaraka wao yuko kizuizini hvi tunavozungumza

Wanakaa vikao kila siku na majibu hakuna hahaha ngoma nzito nilikwambia mm na bado kisago kinakuja kwenye nchi zao hao ecowas tulia muda uongee
Mkuu wewe upo na shida Sana, hivi unajua maana ya "activation of standby force?, Sasa ulitaka majibu gani zaidi ya kuimarisha vikwazo na "activation of standby force?. Wewe ulitaka wafanye nini zaidi ya hizo hatua walizochukua?. Mimi ninaamini hujui maana ya neno "activation of standby force".
 
Hivi naomba kuuliza wazee. Mbona hawa Niger wamewakalia kooni sana kwani ndio nchi ya kwanza au ya pekee kufanya mapindizi ya kijeshi kwa miaka hii??
Mkuu, Umoja wa Afrika miaka 25 iliyopita ulitoa azimio la kutokomeza mapinduzi ya Kijeshi Afrika, na kutotambua utawala wa kijeshi, ndio sababu yakitokea mapinduzi yoyote pale Afrika, hatua ya kwanza ni AU kuitenga na kutotambua utawala wa kijeshi, huku wakitumia mbinu za mazungumzo Ili kuhakikisha utawala wa kiraia unarudishwa haraka Sana.

AU haina jeshi, kwahiyo hawana uwezo wa kuingilia Kijeshi Ili kurudisha utawala wa kiraia, AU hutegemea Sana jumuia za kikanda katika matumizi ya nguvu Kama ECOWAS, SADC na EAC.

ECOWAS imejikuta kwamba imefanya makosa kwa kutoingilia Kijeshi katika nchi za Mali, Chad na Burkina Faso, huko walitumia njia za kuzitenga na kuweka vikwazo(diplomatic &economic means) wakitegemea kwamba zinatosha kurudisha tawala za kiraia.

Baada ya kugundua kwamba njia za kidiplomasia hazizai matunda na mapinduzi yanazidi kushika kasi, Sasa wameamua kutumia njia za Kijeshi, Ili kutoa onyo kwa nchi zingine zenye kufikiria kufanya hivyo, na zile ambazo zimefanya hivyo kuharakisha mchakato wa kurudisha utawala wa kiraia.
 
Naona hunielew ninachoongea nimekwambia hvi huo mradi hata mchina anautaka so hata mfaransa akiacha kisa uganda imekataa ushoga wako watu wanautaka na wataendeleza simple like that mzee vp ecowas wamefkia wapi?? Naskia wameanza kugeukana wao kwa wao sasa
Hahahaha, ndoto hizi zinakusaidia kupata usingizi wa mchana
 
Mkuu wewe upo na shida Sana, hivi unajua maana ya "activation of standby force, Sasa ulitaka majibu gani zaidi ya kuimarisha vikwazo na "activation of standby force?. Wewe ulitaka wafanye nini zaidi ya hizo hatua walizochukua?. Mimi ninaamini hujui maana ya neno "activation of standby force".
hahaha mm nilikwambia na nitakwambia hata hzo nchi nne zilizobakiwa ecowas mapinduzi yanakuja kwao vile vile just wait muda utaongea zaidi, vibaraka wote watapinduliwa nchi tatu tayari niger ya nne tayar sasa zimebaki nchi nne au tano ecowas sasa tusubiri tuone, activation of standby force iko wapi na inafanya nini??🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahaha, ndoto hizi zinakusaidia kupata usingizi wa mchana
pole kwa maumivu mtetea haki za mashoga🤣🤣🤣🤣 mm nalala hata bila ya ndoto, mwanaume mzima unashangilia mwanaume mwenzako akipumuliwa na kufukuliwa tope yaani unaonekana kituko mbele ya jamii
 
Back
Top Bottom