Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu Janabi kumbe alikuwa daktari wa Kikwete, alafu ndie akawa anamtibu Magu?
Hapana kipindi cha Magu alikuwa JKCI! Msianze majungu yenu maana najua unataka kujenga conspiracy! JPM daktari wake anajulikana alitoka kulekule!
 
Afrika sisi ni watu wa ajabu sana, sheria tumejiwekea wenye kwamba tuheshimu utawala wa kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wetu kwa njia za kupiga kura, tukakubaliana kwamba tusikubali Wala kuruhusu mapinduzi ya Kijeshi, lakini inapofika wakati wa kusimamia maamuzi yetu wenyewe, tunasema hao wanaosimamia utekelezaji wa maamuzi yetu wenyewe wanashindikizwa na nchi za nje, ila hawa waliovunja makubaliano yetu ndio wenye uzalendo na bara letu, uzalendo kwa kwenda kinyume na Yale tuliyojipangia sisi wenyewe?, kweli?.
Wewe jamaa shule ulikuwa mchovu. Jiendekeze kielimu. Haya mambo yamekuzidi kiakili.
 
Ongea kama kuna mji unaoweza shindana na Mombasa hapo Bongo ukitoa Dar.
Niletee public office kama hii hapo mambasa

20230811_130806.jpg
 
Screenshot_20230811-123536_1.jpg
Screenshot_20230811-124331_1.jpg
Screenshot_20230811-123930_1.jpg
kakamega county
kumbe high school football is big huku Kenya, am surprised!
Seems watu wanaenjoy European football and grassroot more.
Screenshot_20230811-123603_1.jpg
 
Wewe jamaa shule ulikuwa mchovu. Jiendekeze kielimu. Haya mambo yamekuzidi kiakili.
Mkuu, hapa tunajadiliana kwa uwazi, chagua eneo ambalo wewe hukubaliani nalo na utoe hoja zako mbadala watu wazisome mwenye kuchangia achangie, Sasa ukitaka tushindane kwenye Elimu itasaidia nini?, Japo ninajua hufikii hata robo ya elimu niliyokua nayo, muhimu sio vyeti, muhimu ni maarifa, weka hoja mezani Wacha kurukaruka.


 
Back
Top Bottom