REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,233
- 10,919
Moja ni hili, bomba la gesi.Hivi naomba kuuliza wazee. Mbona hawa Niger wamewakalia kooni sana kwani ndio nchi ya kwanza au ya pekee kufanya mapindizi ya kijeshi kwa miaka hii??
la pili ni: Marekani amewekeza zaidi ya dollar $100 Million kwenye kambi ya Drones za kijeshi iliyopo Niger.
Sema kuna uwezekano zitapigwa vibaya, maana Russia yuko nyuma yao hizi nchi zote zilizopindua hivi karibuni na pia alternative ya Europe kupata gesi toka Africa itapekea wao kuacha kutegemea Russia kwenye hili na Russia hawezi kuangalia wakati nafasi ya kustopisha hili iko wazi. So, lazima zipigwe, inaweza kuwa kama Ukraine.
