Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahaha mm nilikwambia na nitakwambia hata hzo nchi nne zilizobakiwa ecowas mapinduzi yanakuja kwao vile vile just wait muda utaongea zaidi, vibaraka wote watapinduliwa nchi tatu tayari niger ya nne tayar sasa zimebaki nchi nne au tano ecowas sasa tusubiri tuone, activation of standby force iko wapi na inafanya nini??
Ndio sababu nikakuambia hujui maana ya hilo neno, ngoja nikupe shule kidogo
1)Kikao Cha kwanza Cha ECOWAS lengo lake lilikua ni kuipa muda wa wiki Moja Niger kurudisha utawala wa kiraia
2)Kikao cha pili ni kutangaza rasmi kwamba yaliyotokea ni mapinduzi ya Kijeshi na kuanza kazi ya kukusanya jeshi na kuliweka katika maeneo tayari kwa mashambulizi(activation of standby force)
3)Hatua ya tatu ni kutoa amri ya kushambulia na vita kuanza rasmi.

Jambo ambalo ninakushangaa ni kuzungumza vitu vya uongo Ili kujiliwa, huu mkutano wa Jana, umehudhuriwa na zaidi ya nchi 14, kati ya hizo 7 ni wanachama wa ECOWAS, Sasa wewe umeshikilia nchi 4 tu, ndio sababu nikakuuliza, umepitia Muhimbili?.

Hesabu hizi nchi zinazotajwa hapa.
 
pole kwa maumivu mtetea haki za mashoga mm nalala hata bila ya ndoto, mwanaume mzima unashangilia mwanaume mwenzako akipumuliwa na kufukuliwa tope yaani unaonekana kituko mbele ya jamii
Hahahaha,

Waarabu na haki za binadamu wapi na wapi?, wanawake hadi leo hata kuendesha gari hawaruhusiwi, hawaruhusiwi hata kupiga kura, sembuse ushoga.

Ndio sababu umekaza shingo kuliko mtu yeyote hapa
 
Ndio sababu nikakuambia hujui maana ya hilo neno, ngoja nikupe shule kidogo
1)Kikao Cha kwanza Cha ECOWAS lengo lake lilikua ni kuipa muda wa wiki Moja Niger kurudisha utawala wa kiraia
2)Kikao cha pili ni kutangaza rasmi kwamba yaliyotokea ni mapinduzi ya Kijeshi na kuanza kazi ya kukusanya jeshi na kuliweka katika maeneo tayari kwa mashambulizi(activation of standby force)
3)Hatua ya tatu ni kutoa amri ya kushambulia na vita kuanza rasmi.

Jambo ambalo ninakushangaa ni kuzungumza vitu vya uongo Ili kujiliwa, huu mkutano wa Jana, umehudhuriwa na zaidi ya nchi 14, kati ya hizo 7 ni wanachama wa ECOWAS, Sasa wewe umeshikilia nchi 4 tu, ndio sababu nikakuuliza, umepitia Muhimbili?.

Hesabu hizi nchi zinazotajwa hapa.

yaani vikao vitakua zaidi ya 100 lakini hakuna kitu watafanya mark my words hao wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani huyo nigeria mwenyewe anashida mpaka kwenye makalio wananchi wenyewe wamekataa nigeria kuingilia masuala ya niger wakat kwake kwenyewe kunawaka moto, vita vya boko haramu vimemshinda anawaza vita na niger wakat kashakingiwa vifua na nchi zaidi ya nne 😆 😆 😆 😆 😆

nashangaa sana kuona ww ni mtu unaechukulia vitu simple sana wakat kwenye uhalisia ni tofaut sana kuhudhuriwa sio hoja wanaeza hudhuria wote na wakabaki wawiwili wenye mawazo hayo unayofkiria ww kila mtu anahofu na kuanzisha vita hahaha
 
"Developed"



, Hapa muda si mrefu watakua wanapita na mtumbwi kama Venice , wajitahidi tu kudevelope sewage ijae ibebe mtumbwi.

IMG_9231.jpg
 
, Hapa muda si mrefu watakua wanapita na mtumbwi kama Venice , wajitahidi tu kudevelope sewage ijae ibebe mtumbwi.

View attachment 2714320
Kwahiyo sio nchi 4 Kama unavyosema wewe, au hizo nchi nne umezitoa wapi?.

Hivi Sasa wapo hatua ya pili, hivi unavyosema, nchi 7 zote za ECOWAS zilizohudhuria Jana zinachangia wanajeshi katika hiyo "standby force", hivi Sasa tayari vifaa vya Kijeshi na wanajeshi kutoka nchi za ECOWAS wanaelekea Nigeria kwa ajili ya kutoa kichapo
NDINDA samahani hii haikuhusu kaka
 
Ni sawa na kusema "Tanzania needs Bakharesa more than other way round
Yes kwani uongo? Kuna nchi nyingi zinatafuta wawekezaji ukizingua anahamisha biashara zake nchi nyingine mfano mzuri unaona biashara zilivyoondoka Russia na uchumi unatetereka. Bakhresa analipa kodi corporate tax pia ana collect VAT kwa niaba ya serikali pia analipa PAYE kwa ajira anayotoa sasa kwani nchi nyingine haziitaji wawekezaji kama hawa?

Mfano wa karibu Magu alipozingua wafanyabiashara watu wa transportation walifanyaje? Walihamishia assets zao Zambia, Rwanda na Uganda meli zilikuwa zinahesabika bandarini.
 
Kwahiyo sio nchi 4 Kama unavyosema wewe, au hizo nchi nne umezitoa wapi?.

Hivi Sasa wapo hatua ya pili, hivi unavyosema, nchi 7 zote za ECOWAS zilizohudhuria Jana zinachangia wanajeshi katika hiyo "standby force", hivi Sasa tayari vifaa vya Kijeshi na wanajeshi kutoka nchi za ECOWAS wanaelekea Nigeria kwa ajili ya kutoa kichapo
Naona umechanganya madawa umemjibu ndinda badala ya mm 😅😅😅😅
 
Niger lazima ipigwe iwe funzo kwa Russia kwamba hakuna nafasi ya mapinduzi ya kijeshi afrika. Kama wazungu (EU) wamekataa gesi na mafuta yako na wanataka ya Nigeria (willing buyers willing seller) kwanini wao watake kuvuruga hio biashara.
ECOWAS wamekiri walifanya kosa walipoziachia Mali na Burkina Faso, raundi hii lazima wajaribu kijeshi. Mchina tayari amesmamisha kazi ya kujenga daraja Niger kisa kuogopa vikwazo vya magharibi
 
Yes kwani uongo? Kuna nchi nyingi zinatafuta wawekezaji ukizingua anahamisha biashara zake nchi nyingine mfano mzuri unaona biashara zilivyoondoka Russia na uchumi unatetereka. Bakhresa analipa kodi corporate tax pia ana collect VAT kwa niaba ya serikali pia analipa PAYE kwa ajira anayotoa sasa kwani nchi nyingine haziitaji wawekezaji kama hawa?

Mfano wa karibu Magu alipozingua wafanyabiashara watu wa transportation walifanyaje? Walihamishia assets zao Zambia, Rwanda na Uganda meli zilikuwa zinahesabika bandarini.
Hiyo haizuii nchi kuwa na maamuzi yake, hasa nchi tajiri ambazo zimejitosheleza
 
Russia ni kinga'nga'nizi Sana, wakati EU ilipotaka kujenga pipeline kutoka Qatar hadi Europe waliupinga mapinduzi ya raia wa Syria. Kilichotokea ni mauaji ya halaiki wakishirikiana na jeshi la al-asad. Leo hii mji wa alepo umekua gofu kutokana na ndege za urussi.
 
Russia ni kinga'nga'nizi Sana, wakati EU ilipotaka kujenga pipeline kutoka Qatar hadi Europe waliupinga mapinduzi ya raia wa Syria. Kilichotokea ni mauaji ya halaiki wakishirikiana na jeshi la al-asad. Leo hii mji wa alepo umekua gofu kutokana na ndege za urussi.
Rudi usingizini ukamalizie ndoto yako 😅😅
 
Niger lazima ipigwe iwe funzo kwa Russia kwamba hakuna nafasi ya mapinduzi ya kijeshi afrika. Kama wazungu (EU) wamekataa gesi na mafuta yako na wanataka ya Nigeria (willing buyers willing seller) kwanini wao watake kuvuruga hio biashara.
ECOWAS wamekiri walifanya kosa walipoziachia Mali na Burkina Faso, raundi hii lazima wajaribu kijeshi. Mchina tayari amesmamisha kazi ya kujenga daraja Niger kisa kuogopa vikwazo vya magharibi
Afrika sisi ni watu wa ajabu sana, sheria tumejiwekea wenye kwamba tuheshimu utawala wa kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wetu kwa njia za kupiga kura, tukakubaliana kwamba tusikubali Wala kuruhusu mapinduzi ya Kijeshi, lakini inapofika wakati wa kusimamia maamuzi yetu wenyewe, tunasema hao wanaosimamia utekelezaji wa maamuzi yetu wenyewe wanashindikizwa na nchi za nje, ila hawa waliovunja makubaliano yetu ndio wenye uzalendo na bara letu, uzalendo kwa kwenda kinyume na Yale tuliyojipangia sisi wenyewe?, kweli?.
 
Hiyo haizuii nchi kuwa na maamuzi yake, hasa nchi tajiri ambazo zimejitosheleza
France depends on Total for energy security and rights. Hivyo kama nchi wanatetea mambo ya LGBTQ+ lakini ikigusa mahali panapouma wanaufyata kama mbwa koko. Energy ndio kila kitu kwe chumi za kidunia.

On one hand France will condemn Uganda decision on anti LGBTQ+ but on the other hand it will support TOTAL engagement with Ugandan government.

Hakuna watu wanafiki kama wazungu. Hii yote wanafanya kuondoa public pressure nchini kwao lakini underhandedly wanafanya biashara na anti LGBTQ+ countries.
 
Back
Top Bottom