chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,323
- 45,135
Miundombinu ya kisasa inazidi kuongeza uzuri wa Tanzania, ferry inavyoflow na hilo daraja na background ya milima ni kitu huwezi kuona kunako shakahola, ferry ya Mombasa tu ipo kama machine ya kutoa uhai 😢
